• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAIS SAMIA KUJENGA KIVUKO KIKUBWA KOME- NYAKALILO : RC MAKALLA

Posted on: January 16th, 2024

RAIS SAMIA KUJENGA KIVUKO KIKUBWA KOME- NYAKALILO : RC MAKALLA


*Rais Samia atoa Bilioni 8 kujenga kivuko hicho*


*Kivuko kikubwa kubeba watu 400, magari 22*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inajenga kivuko kikubwa cha kisasa kitakachosafirisha abiria na mazigo katika kisiwa cha Kome hadi Nyakalilo katika Halmashauri ya Buchosa- Sengerema.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Nyamiswi kisiwani Kome leo tarehe 16, Januari 2024 Makalla amesema Serikali imedhamiria kuwaondolea adha ya usafiri wananchi wa maeneo hayo na imeamua kutenga zaidi ya Bilioni 8. kwa ajili ya kujenga kivuko hicho.

Amesema kivuko hicho kinachotarajiwa kukamilika mwezi Aprili mwaka huu kitakua na uwezo wa kubeba tani 170  na kwamba kitasaidia kusafirisha mazao, bidhaa za uvuvi, magari na watu kwa pamoja tofauti na sasa ambapo wanatumia kivuko kidogo ambacho hakikidhi mahitaji.

Aidha, ametumia mkutano huo kuwapongeza wananchi kwa kupata shule ya Sekondari ya kisasa ya Buhama ambayo itakua suluhu ya watoto kutembea umbali mrefu kwenda shule na amewaagiza TANESCO, RUWASA na TARURA kushirikiana na uongozi wa shule hiyo kufikisha huduma hizo muhimu.

Vilevile, Mhe. Makalla amewataka wananchi kuachana na uvuvi haramu kwenye ziwa Victoria ili kulinda rasilimali za ziwa hilo na kuruhusu mazalia ya samaki kwa ustawi wa sekta hiyo muhimu kwa uchumi wa kanda ya ziwa na amewataka wananchi kulinda amani baina yao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • NIA YA SERIKALI KILA MWANANCHI AUNGANISHIWE MAJI NYUMBANI KWAKE - WAZIRI MKUU

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.