• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Balandya ahimiza vitendo vya ukatili kwa Watoto vitokomezwe Mwanza

Posted on: October 31st, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana amewataka Wadau wa Dawati la ulinzi na Usalama kwa Mtoto kuhakikisha Elimu hiyo inaleta Matokeo chanya ndani ya Jamii kwa kuifanyia kazi kwa vitendo ili kutokomeza ukatili.

Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Utawala na Rasilimali watu Ndugu Daniel Machunda kwa niaba ya Katibu Tawala wakati akifungua mafunzo ambapo amesema wadau wa Maendeleo Plan International wamefanya uamuzi mwafaka wa kuwezesha mafunzo hayo kutokana na changamoto hiyo inayoikabili Jamii.

"Nawapongeza sana Plan International mmekuwa bega kwa bega na Serikali katika kumletea maendeleo mwananchi, sisi kama Serikali tunawaahidi kuendelea kushirikiana nanyi kwenye kila Sekta" amesema Machunda

Aidha, Kaimu Katibu Tawala huyo amesema Mkoa umekuwa ukitekeleza mpango kazi wa Taifa wa Mkakati wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto MTAKUWWA kwa kuelimisha Jamii kufahamu umuhimu wa kushiriki kwenye shughuli  za Maendeleo yakiwemo ya Jinsia, Wanawake na Watoto.

Mratibu wa mafunzo hayo Bi. Bernadetha Mazura amebainisha mafunzo hayo yanatolewa hasa baada ya kubaini rekodi isiyoridhisha ya vitendo vya ukatili kwa watoto inayochangiwa na Jamii kukosa elimu ya kutosha.

"Ndugu mgeni rasmi, tunashuhudia vitendo vingi vya ukatili kwa watoto yakiwemo mauaji na ubakaji hivyo tukiwekeza vya kutosha kwenye kutoa elimu kwa Jamii kutaleta  mabadiliko," amesisitiza Bi. Bernadetha.

Mafunzo hayo kuanzia ngazi ya Kata, Wilaya na Mkoa yamewashirikisha Maafisa Maendeleo ya Jamii, Maafisa Ustawi wa Jamii, Waratibu elimu pamoja na Dawati la Jinsia.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.