• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Balandya aipongeza Serikali kwa kutoa elimu ya afya magonjwa yasiyo ambukiza kwa Wananchi

Posted on: November 12th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg Elikana Balandya amefunga rasmi wiki ya Kudhibiti na  Kuzuia magonjwa yasiyoambukiza,ajali na akili ya afya kwa kuwakumbusha Wananchi kuitumia vyema elimu  waliyopata kuhusiana na magonjwa hayo.

Akizungumza leo na hadhara kwenye kilele cha Maadhimisho hayo kwenye uwanja wa CCM Kirumba,Balandya amesema takwimu za Kimataifa za mwaka huu zimeonesha bado Dunia inapoteza nguvu kazi nyingi kutokana na vifo vinavyotokana na maradhi hayo.

"Takwimu za mwaka huu zimeonesha watu Milioni 41 wanapoteza maisha,ni lazima juhudi za makusudi zifanyike kupambana na tatizo hili"amesema kiongozi huyo mtendaji wa Mkoa.

Ameishukuru Serikali kwa kuendelea kuielimisha Jamii kupitia maadhimisho hayo yanayofanyika nchi nzima kila mwaka Novemba hali ambayo itachangia kupunguza na hatimaye kutokomeza tatizo hilo.

Aidha amewakumbusha wananchi kuzingatia utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara na kuwacha tabia ya kwenda Hospitali ugonjwa unapokuwa umefikia hatua mbaya.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ukimwi,Kifua Kikuu,dawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza Mhe.Fatma Tawfiq amebainisha wao kama Bunge wataendelea kuishauri Serikali kuweka mkazo kupambana na kuongeza bajeti ili kukabiliana kikamilifu na maradhi hayo.

"Tunashukuru Serikali yetu ni sikivu na yenye nia ya kuboresha maisha ya Mtanzania, miradi mingi ya afya ipo kila kona ya nchi hii tuendelee kuiunga mkono kwa jitihada hizi" amesisitiza mbunge huyo wa viti maalum kutoka Mkoa wa Dodoma.

Huu ni mwaka wa nne Serikali inafanya maadhimisho hayo, mwaka huu Mwanza ukiwa mwenyeji Kitaifa ukipokea kijiti kutoka Mkoa wa Arusha.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.