• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Balandya aishauri Tume ya Maendeleo ya Ushirika kusimama imara kuviimarisha vyama

Posted on: November 27th, 2023

*RAS Balandya aishauri Tume ya Maendeleo ya Ushirika kusimama imara kuviimarisha vyama*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana leo Novemba 27, 2023 amewapokea Ofisini kwake na kufanya mazungumzo mafupi na makamishna kutoka Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania na kuwashauri kuvisimamia imara vyama hivyo kwani ndiyo vyombo madhubuti vya kuinua uchumi wa mkulima na Taifa kupata pato.

Katika mazungumzo hayo Balandya amesema chama kama cha Nyanza bado kina nafasi ya kumsimamia na kumuendekeza mkulima wa zao la Pamba na mengineyo kama kitajengewa msingi imara wa namna ya kujiendesha kisasa na siyo kimazoea.

"Ujio wenu naamini mtajionea changamoto mbalimbali za chama cha Ushirikia cha Nyanza ambazo zimechangia kukiyumbisha,Serikali imeonesha nia njema ya kukipa nguvu na kujisimamia,nawaombeni muda mtakao kuwa hapa mzifanyie kazi changamoto mtakazo ziona,"amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akizungumza na makamishna hao.

"Chama cha Ushirika cha Nyanza tunatambua umuhimu wake na mchango wake,hivi sasa tupo mbioni kuwa na Benki ya Ushirika naamini tutatoa elimu ya kutosha ili iwe na hisa kubwa huko,"Colins Nyakunga,Naibu Mrajisi kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika.

"Ziara yetu ya siku mbili tukiwa hapa Mwanza tutahimiza sana chama hiki kiwe na wingi wa wanachama wake ambao ndiyo mtaji wa kuwa na nguvu pia kitumie vizuri fursa za mali zake kujiongezea kipato,"Richard Mayongela,Kamishna wa Tume

Ujumbe huo ambao upo Mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kujitambulisha na kuvitembelea vyama na wanachama kabla ya kuendelea na ziara yao mikoa ya Simiyu na Shinyanga.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.