• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Balandya ashauri Asasi za kiraia kushikamana kuelimisha jamii kutokomeza ukatili wa kijinsia

Posted on: December 2nd, 2023

RAS Balandya ashauri Asasi za kiraia kushikamana kuelimisha jamii kutokomeza ukatili wa kijinsia


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana amezishauri Asasi za kiraia kushirikiana kwa pamoja katika kuongeza kasi ya uelimishaji kwa jamii kuhusiana na ukatili wa kijinsia huku wahanga wakubwa wakiwa ni watoto, wasichana na wanawake.

Akizungumza leo katika Maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwenye ukumbi wa mikutano wa M 14 uliopo chuo kikuu cha Mt. Agustino, Mtendaji huyo wa Mkoa amebainisha licha ya sheria za kupambana na hali hiyo kuwepo ikiwemo Ile ya Maudhui mtandaoni 2020 bado vitendo vya ukatili wa kijinsia vimekuwa vikifanyika.

"Wahanga wengi wamekuwa wakinyamazia vitendo hivyo kwa hofu na kuamini kuwa watadhalilika zaidi endapo suala lake litafikishwa kwenye vyombo vya sheria", amefafanua Balandya wakati akizungumza na washiriki wa Maadhimisho hayo wengi wakiwa ni mawakili na wanachuo wanaosomea sheria.

Balandya amezipongeza Asasi hizo za kiraia kwa kushirikiana na Serikali kwa kupunguza vitendo hivyo kwani takwimu zimeonesha mwaka 2016 ilikuwa asilimia 60 na mwaka 2022 asilimia 47.

"Ndugu mgeni rasmi kwa kutambua umuhimu wa jamii kuelimika hasa uhuru uliopo sasa mitandaoni,mahakama itaendelea kutoa elimu na kuepuka aina yoyote ya hofu kwa wahanga",Mhe. Stanley Kamanya,Jaji Mfawidhi Kanda ya Mwanza.

"Kuongezeka kwa matumizi ya Teknolojia ni dhahiri wahanga wakubwa wamekuwa ni wasichana na wanawake na madhara yake ni kushindwa kushiriki kikamilifu katika masuala ya kiuchumi na kugubikwa na msongo wa mawazo na mwishowe baadhi yao kuchukua maamuzi mabaya ya kujiua,"Mhe.Lilian Temba,Jaji wa Mahakama kuu Kanda ya Mwanza.

Kwa upande wake Mhadhiri wa Saut,Dkt.Neema Mwita aliyemwakilisha Makamu Mkuu wa chuo amebainisha Saut imekuwa na mchango mkubwa  kwa kuwatoa wataalamu wa sheria ambao wamekuwa  chachu ya kutoa msaada wa kisheria kwa jamii.

Katika Maadhimisho hayo washiriki wamepata wasaa wa kuona mfano wa Mahakama zinavyo fanya kazi katika kuendesha kesi za ukatili wa kijinsia.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.