• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS BALANDYA ASHAURI KUWEPO NA MPANGO WA KUTOKOMEZA UMASIKINI KUEPUSHA VITENDO VYA UKATILI NDANI YA JAMII

Posted on: July 3rd, 2024

RAS BALANDYA ASHAURI KUWEPO NA MPANGO WA KUTOKOMEZA UMASKINI KUEPUSHA VITENDO VYA UKATILI NDANI YA JAMII


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bw. Balabdya Elikana ameshauri kuwepo na mkakati endelevu wa kuutokomeza umaskini ndani ya jamii kwa Wanawake kuwezeshwa kiuchumi hali itakayopunguza vitendo vya ukatili vinavyozidi kushamiri.

Akizungumza leo Julai 3, 2024 Ofisini kwake na ugeni kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kutoka Zanzibar ukiongozwa na Katibu Mkuu wake Bi.Zubeida Abdallah, Balandya amebainisha Taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo ianze kuona umuhimu huo ambao utakuja na matokeo mazuri.

"Tukiweka mazingira mazuri kama ubora wa miundombinu kama upatikanaji wa maji na Jamii kuwezeshwa kiuchumi kwa kupatiwa mitaji ya kuboresha vipato kwenye familia vitendo vya ukatili vitapungua kama siyo kumalizika," Balandya.

Mtendaji huyo wa Mkoa ameutaka mkazo uendelee wa kuelimisha Jamii kuhusiana na vitendo vya ukatili ili watu waishi kwa amani na kuendelea na shughuli za kulijenga Taifa

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Zubeida Abdallah amesema safari yao ya kufika Mwanza ni kujifunza namna ya kupambana na hali hiyo ili Jamii iishi kwa amani.

"Kuna mradi wa tokomeza ukatili dhidi ya Wanawake na watoto ulioanza mwaka huu hadi 2029, ambao huku Bara wameuanza vizuri nasi tunaamini tutapata la kujifunza." Katibu Mkuu.

Viongozi hao kutoka Zanzibar watakuwa Mkoani Mwanza kwa siku mbili wakitembelea maeneo mbalimbali yanayojishughulisha na malezi ya watu wanaoishi katika mazingira magumu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.