• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS BALANDYA ATAKA AFUA ZAIDI ULINZI NA USALAMA KWA WATOTO WA KIUME KAMA ILIVYO KWA WA KIKE

Posted on: July 12th, 2024

RAS BALANDYA ATAKA AFUA ZAIDI ULINZI NA USALAMA KWA WATOTO WA KIUME KAMA ILIVYO KWA WA KIKE


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amewasihi watumishi na wadau wa afya mkoani humo kuhamasisha na kuongeza jitihada za kulinda watoto wa  kiume dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kwa kuongeza zaidi afua zinazolenga kundi hilo kama ilivyo kwa watoto wa kike.

Amesema hayo Julai 11, 2024 alipotembelewa na timu inayofanya ufuatiliaji wa afua za mradi wa DREAMS unaotekelezwa katika kata 18 kwa wanafunzi waliopo shuleni (shule za msingi 73) unaolenga kusaidia binti balehe na wanawake vijana wenye umri wa miaka (15 – 24) wasiosoma (out of school) wilayani  Nyamagana.

"Ni furaha yangu kubwa kuona timu inayofanya ufuatiliaji wa ubora wa takwimu za mradi wa DREAMS unaotekelezwa na Serikali pamoja na wadau wetu ICAP na ELCT/ KKKT wilayani Nyamagana, takwimu zinapokua sahihi na zenye ubora ndipo tunaweza kupanga mipango yenye tija ya kutatua changamoto zilizopo.

Aidha, Katibu Tawala Balandya amesisitiza kufanya usimamizi shirikishi mara kwa mara kwa walengwa ili kufuatilia maendeleo yao na kutatua changamoto zao na kuhakikisha ustawi bora wa jamii.

Aidha, ametumia wasaa huo kutoa ombi kwa wadau hao kwa wakati mwingine kuona namna ya kuwahusisha watoto wa kiume waliopo shuleni na nje ya mifumo rasmi ya elimu ili nao waweze kunufaika na programu za DREAMS kwani nao wapo kwenye hatari ya maambukizi hayo hususani nyakati hizi za wimbi kubwa la ukatili wa kijinsia.

Ameongeza kuwa mradi huo umelenga kuwaibua mabinti zaidi 13,000 ndani ya mwaka wa mradi (OCT 23-SEP 24) kutoa huduma ya upimaji na ushauri nasaha kwa mabinti kutambua sehemu salama ambazo mabinti wanajifunza masomo na uendeshaji wa vipindi na elimu mbalimbali za kujiinua kiuchumi.

"DREAMS (in school) - Inayotekelezwa na mdau wetu- KKKT kupitia mradi wa USAID kizazi hodari kanda ya kaskazini mashariki imeweza kuwafikia mabinti 11,546 (99%) katika lengo la mwaka  (FY2024 ) kufikia mabinti 11,572 katika shule 73 ambazo ziko katika mpango huo ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Nyamagana." Amefafanua Bw. Balandya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.