• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza ataka Jamii kuelimishwa zaidi kuhusiana na maambukizi dhidi ya Virusi vya Ukimwi

Posted on: June 2nd, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike ametoa rai kwa viongozi na watendaji mkoani humo kutoa elimu ya matumizi sahihi na usambazaji wa Makasha ya Kondomu kwa jamii ili kujikinga na maambukizi ya Ukimwi.


Akizungumza kwa niaba yake,Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Mkoani Mwanza Emil Kasagara amesema hayo leo wakati akifungua kikao kazi cha Usambazaji wa Mkakati na Mwongozo wa Taifa wa Kondomu kilichofanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa watendaji wa mitaa kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza.

"Niwaombe tukafikishe elimu hii kwa jamii, hakikisheni tunatoka na majibu ya namna gani kondomu zitawafikia wananchi wote maana sifa yetu Mwanza ni kufanya vizuri kwa hiyo twende tukashirikiane kuhakikisha kondomu zinawafikia maeneo ya vijijini. "

 "Lengo la kuwa hapa nanyi ni kuwajengea uwezo ili kuhakikisha kondomu zinafika kwenye jamii na tunatoa elimu ya matumizi sahihi, hivyo Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya waziri Mkuu tunahakikisha malengo hayo yanatimia." amesema Dktr. Emmanuel Mihayo, Mratibu wa kondomu Wizara ya Afya (NACP)

Mratibu wa Kondomu kutoka TACAIDS Dktr Hafidh Ameir amesema mpango huu ni kwa Mikoa 8 ambayo imeonesha inahitaji mkazo wa elimu hiyo na mpango wa kuzungukia nchi nzima utafanyika.

"Wengine wanapuuzia wakidhani UKIMWI haupo lakini ni vizuri wana semina tukasikiliza kwa makini ili tukatoe elimu kwa wananchi dhidi ya janga hili ambalo kwa muda mrefu halina tiba." Amesema, Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Mhe. Rodrick Ngoye.


Kikao kazi hicho kinafanyika kwa siku mbili lengo likiwa ni kuwajengea uwezo Wataalam wa Sekta ya Afya, Watendaji wa Serikali za Mitaa pamoja na Madiwani kutoka Wilaya za Nyamagana na Ilemela kupambana na ugonjwa wa Ukimwi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.