• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza awahimiza Walimu walezi na Wazazi kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji Kijinsia kwa Watoto

Posted on: February 8th, 2023


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amewakumbusha walimu walezi na Wazazi kuzingatia  na kuyafanyia kazi mafunzo mbalimbali wanayopatiwa ili yawe na tija kwa Taifa.

Akifungua leo Jijini Mwanza Mafunzo ya kukabliliana na unyanyasaji wa kijinsia na majanga ya moto kwa walimu walezi kutoka Shule za msingi Jijini Mwanza Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji Emil Kasagara aliyemuwakilisha Katibu Tawala amesema bado kunahitajika umakini katika malezi ya wanafunzi shuleni kutokana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kuendelea kushamiri nchini.

"Niwapongeze Taasisi ya Elimu ya Watu wazima kwa kutoa mafunzo haya ambayo yana lengo jema kwa Taifa letu,wajibu wetu sasa tuhakikishe yaje na matokeo chanya kwa kutokomeza vitendo vya unyanyasaji kwa watoto wetu"amesisitiza Katibu Tawala msaidizi.

Ameishauri pia Taasisi ya Elimu ya Watu wazima kuangalia namna ya utoaji wa mafunzo kama hayo kwa makondakta wa mabasi ya abiria na madereva wa bodaboda ambapo kumekuwa na tabia za unyanyasaji kwa baadhi yao.

"Tumejipanga kuona baada ya mafunzo haya kuna hatua gani za mabadiliko,ofisi yangu kwa kushirikiana na Viongozi wenzangu tutaendelea kufuatilia ili lengo letu la kujenga Taifa lililostaarabika litimie" Maenda Chambuko Afisa Elimu Watu wazima Mkoa.

"Ukimuelimisha Mwalimu tambua umewaelimisha watu mia moja nyuma yake,nimefarijika na mafunzo haya naamini walimu ambao muda mwingi mnakaa na watoto wetu mtakwenda kuwa muarobaini wa changamoto hii ya unyanyasaji"Mhe Diwani.Magreth Kuhanwa,Mwenyekiti Huduma za Jamii Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

"Majanga ya moto yameigharimu sana Serikali kutokana na baadhi ya shule zake kuteketea kwa moto,kupitia mafunzo haya washiriki muwe makini kuwasikiliza Wataalamu kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili muwe na ujasiri wa kupambana na majanga ya moto yanapotokea"Dkt.Beatus Mwendwa Mkuu wa Chuo Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima kituo cha Mwanza.

Mafunzo hayo ya siku moja yamewashiriksha Walimu walezi 146 kutoka Shule za Msingi Wilaya ya Nyamagana.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.