• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza awakumbusha Watumishi kusimamia kwa weledi ubora wa bidhaa

Posted on: September 5th, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amewataka Maafisa Biashara na Afya ngazi ya Wilaya hadi Mkoa kuzingatia mafunzo wanayopatiwa kuhusiana na udhibiti wa ubora na usalama wa chakula na vipodozi ili wananchi waendelee kupata bidhaa bora na kukuza Uchumi wa nchi.

Akifungua Mafunzo ya siku moja Mkoani Mwanza kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa yaliyoandaliwa na Shirika la Viwango Tanzania TBS kwa kushirikiana na TAMISEMI Katibu Tawala Msaidizi Utumishi na Rasilimali watu Daniel Machunda amesema Serikali imeamua kuwatumia Watumishi ili kulinda afya za wananchi katika maeneo yao.

"Niwapongeze sana TBS na TAMISEMI kwa kubuni mpango huu ambao utawawezesha Watumishi hawa kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia Sheria na miongozo iliyopo hasa kwa kuzingatia wingi wa bidhaa kutoka ndani na nje ya nchi ambazo baadhi siyo salama kwa matumizi," amesema Machunda.

Amewataka watumishi hao wanayopatiwa mafunzo wasiyatumie kwenda kutumia nguvu kwa watakaobainika wamekwenda kinyume badala yake watumie sheria, miongozo na maadili.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu kutoka TBS Makao Makuu Lazaro Henry amebainisha kuwa mpango huo umekuja kwa kutambua soko la ushindani wa biashara ulivyo hivi sasa, hivyo Watumishi hao watakuwa chachu ya ushauri kwa viwanda nchini lengo viendelee kutoa bidhaa bora kwa mlaji na mtumiaji.

Shirika la Viwango Tanzania TBS lina majukumu makuu manne ambayo ni Kuweka Viwango vya Kitaifa vya bidhaa, huduma na mifumo ya usimamizi wa ubora katika Sekta zote pamoja na kutekeleza Viwango vya Kitaifa katika  Sekta za viwanda,biashara na huduma kwa kutumia skimu mbalimbali za udhibiti ubora.

Zingine ni pamoja na Upimaji wa bidhaa kwa lengo la kuhakikisha ubora wake na kutoa mafunzo Kwa wazalishaji pamoja na wafanyakazi kutoka Taasisi na Viwanda.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.