• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AAGIZA UONGOZI JIJI LA MWANZA UREJESHAJI WAFANYABIASHARA SOKO KUU MWANZA UWE WA WAZI

Posted on: January 19th, 2024

RC MAKALLA AAGIZA UONGOZI JIJI LA MWANZA UREJESHAJI  WAFANYABIASHARA SOKO KUU MWANZA UWE WA WAZI


*Ataka Utaratibu wa kurejesha kuanza na wafanyabiashara walioondolewa awali*


*Asema hakuna Kizimba kulichotolewa kwa mfanyabiashara hadi sasa*


*Asema Mkandarasi atalipwa fedha baki wiki ijayo*


*Amshukuru Rais Samia kutoa fedha za Ujenzi wa Soko hilo*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewaagiza Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuhakikisha Ugawaji wa Vizimba kwenye Soko Kuu la Mjini Kati mara litakapokamilika unakua wa Uwazi na wenye ushirikishaji wa Makundi ya Wafanyabiashara wenyewe.


Makalla ametoa agizo hilo leo tarehe 19 Januari 2024 wakati alipofika kwenye Soko hilo kukagua Maendeleo ya Ujenzi wake unaogharimu zaidi ya Bilioni 25 na kubaini kuwa wapo kwenye hatua za Ukamilishaji kwani wamefikia asilimia 93 ya ujenzi.

"Hili ndilo soko haswa lenye hadhi ya Jiji na Mkoa wa Mwanza, tunamshukuru sana Mhe. Rais kwa kutoa fedha za Ujenzi wa Soko lenye uwezo wa kubeba wafanyabiashara zaidi ya 1400 tofauti na 400 walioondolewa siku za nyuma kwenye soko hilo." Makalla.

Makalla amewatoa hofu wananchi wanaodhani kwamba tayari vizimba vimeanza kugawiwa kwenye eneo hilo na akatoa tamko kuwa hakuna hata kizimba kimoja ambacho kimetolewa kwa mfanyabiashara na kwamba watapewa kipaumbele walioondolewa kwenye soko la zamani.

Vilevile, amebainisha kuwa wiki ijayo Mkandarasi atalipwa Bilioni 1.3 zilizobaki kwenye mradi huo hivyo anapaswa kuongeza spidi ya ujenzi ili mwezi Machi amalize ujenzi na kukabidhi Soko hilo ili wafanyabiashara warejeshwe na wengine wanufaike nalo.

Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Mhe. Sima Costantine amebainisha kuwa kupitia Bilioni 2 zilizotengwa kwa ajili ya Miundombinu zitasaidia kuweka sawa kwenye uhimarishaji wa barabara ya kuingia kwenye Soko hilo ili wafanyabiashara wapate urahisi kwenye shughuli zao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.