Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AIPONGEZA BENKI YA NMB KUWA TASISI KINARA KULIPA KODI NCHINI

Posted on: November 30th, 2023

RC MAKALLA AIPONGEZA BENKI YA NMB  KUWA TASISI KINARA KULIPA KODI NCHINI


*Aipongeza Bodi ya Wakurugenzi,  Mkurugenzi mtendaji,Menejimenti na Watumishi kwa Ushirikiano*


*Awakaribisha Benki ya NMB kusaidia wawekezaji kuwekeza kwenye Utalii Mwanza*


*Awasihi kuendelea kubuni bidhaa rafiki kwa makundi mbalimbali hususani walimu*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla ameipongeza Benki ya NMB kwa kuwa mlipa kodi mkubwa na bora zaidi 2023 na kupata tuzo Novemba 24, 2023 .

Ametoa pongezi hizo mapema leo Novemba 30, 2023 alipokua akihutubia mkutano wa Mameneja wa Benki hiyo uliofanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Malaika- Mwanza.

Makalla amesema mafanikio yoyote yanatokana na uongozi bora na ushirikiano hivyo bodi ya wakurugenzi, menejimenti na watumishi wamefanya kazi nzuri sana iliyozaa matunda hayo.

Aidha, amesema pamoja na kuongeza kuchangia pato la Taifa, hawana budi kuendelea kubuni bidhaa bora na rafiki kwa makundi mbalimbali ili kusaidia wananchi hususani kwenye huduma za mikopo.

Akizungumzia tuzo waliyopata ya kuwa taasisi inayolipa kodi kubwa zaidi tena kwa hiyari, Makalla amewasihi kuendelea hivyo kwani wanakua ndio chachu ya uboreshaji wa huduma za kijamii kama maji, miundombinu ya barabara, kilimo, afya na elimu.

Awali Mkuu wa Idara ya wateja wa Benki hiyo, Aikansia Muro alibainisha kuwa juma lililopita Benki hiyo ilipata Tuzo ya Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ya kuwa mlipa kodi mkubwa na bora zaidi, Taasisi inayolipa kodi kubwa zaidi pamoja na walipa kodi bora kwa hiyari.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA: UZINDUZI MV MPUNGU NI ISHARA YA MAENDELEO SEKTA YA USAFIRISHAJI MAJINI

    May 21, 2025
  • MSINGI WA MALEZI BORA KWA MTOTO UNAJENGA TAIFA IMARA: RC MTANDA

    May 21, 2025
  • OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA YATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA PROF.JANABI

    May 20, 2025
  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.