• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima aipongeza Serikali kwa kuboresha huduma Sekta ya afya

Posted on: May 6th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amesema ni muhimu kuimarisha njia za upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi  ili kuhakikisha   huduma bora kwa wananchi zinatolewa kwenye vituo vya afya nchi nzuma

Hayo yamesemwa leo Mei 6 2023 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kuhusu mfumo mpya wa mshitiri  katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa.

"Ni muhimu sana kuimarisha upatikanaji wa dawa, vifaa tiba, vifaa saidizi na vitendanishi kulingana na mahitaji ya vituo vya afya katika ngazi zote za utoaji huduma nchini  na kuhakikisha  huduma bora zinatolewa kwa wananchi," Amesema Mtendaji huyo wa Mkoa

Ndg. Balandya ameipongeza  Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambao ndio wawezeshaji wa mafunzo hayo kwa kuendelea kuboresha mfumo wa mshitiri na endapo utasimamiwa vizuri utasadia upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi.

" Niipongeze Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kuendelea kuboresha mfumo wa mshitiri na ni matumaini yangu na Serikali kuwa mfumo huu endapo utasimamiwa vizuri utasaidia  katika upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi zinazokosekana katika Bohari la Dawa," Amesema Ndg. Balandya.

Aidha  Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Claudia Kaluli amesema  Ofisi ya Rais- TAMISEMI  ikishirikiana na wizara ya afya imeleta mfumo wa uagizaji dawa ambazo zitakua hazipatikani katika Bohari la Dawa ambao ni rahisi.

" Ofisi ya Rais- TAMISEMI  ikishirikiana na wizara ya afya imeleta mfumo wa uagizaji dawa ambazo zitakuwa zinakosena katika Bohari la Dawa  ambao ni rahisi na utasaidia kuweza kushirikiana na wauzaji binafsi,"  Amesema  Kaluli

"Huu ni mfumo ambao tunaimani unakuja kuleta mageuzi chanya kwenye Sekta yetu ya afya kutokana na upatikanaji wa haraka wa dawa na usahihi wa nyaraka husika",Julius Shigella,Mratibu wa huduma za Maabara na damu salama Mkoa.

Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2023  iliweka bayana na kawaahidi wananchi kuimarisha mifumo ya upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi  na kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi katika utoaji wa huduma za afya.

Washiriki wa mafunzo hayo ni Wakurugenzi kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Mwanza,Waganga wakuu wa Wilaya,Maafisa TEHAMA,waratibu wa huduma za Maabara na Maafisa ugavi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • FAMILIA NI NGUZO IMARA KATIKA KULINDA MAKUZI YA MTOTO: DKT. BITEKO

    May 24, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.