• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima awaahidi SCCULT kuwapigania kuwa na Benki ya Taifa ya UshIrika

Posted on: October 20th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Adam Malima amewaahidi kuwapigania kuwa na Benki ya Taifa ya Ushirika Muungano wa Ushirika wa akiba na mikopo SCCULT ili kuwa na nguvu kubwa ya kiuchumi itakayomkomboa Mtanzania na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza leo Jijini Mwanza kwenye Viwanja vya Furahisha wakati wa kufunga Maadhimisho ya Kimataifa ya Ushirika wa akiba na mikopo,Mhe Malima amesema haoni kinachoshindikana kwa umoja huo kujichangisha na kupata bilioni 15 kama mtaji wa kuanzisha Benki kwa mujibu wa taratibu za Benki Kuu ya Tanzania,hasa baada ya kuona baadhi ya Taasisi kuwa na mitaji ya zaidi ya bilioni 3.

"Mimi ni mkereketwa wa Ushirika huu naomba kuwaahidi kuzungumza na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu nia ya kuanzisha Benki na Serikali inunue pia hisa,naimani pasipo shaka mkuu wetu wa nchi atanielewa"

Amesema baada ya kuzungukia mabanda na kupata taarifa za Taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi amepata somo zuri la umuhimu wa kuwepo kwa Ushirika huo ambao ni jawabu la kumkomboa mwananchi kiuchumi.

Aidha amewashauri Viongozi wa muungano huo wa ushirika kuendelea kuwa na nidhamu nzuri ya fedha hali itakayo waongezea Imani kutoka kwa wanachama wao.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi Mrajisi wa Ushirika Tanzania Dktr Benson Ndiege amesema kwa mujibu wa takwimu ya mwaka 2018-2022 inaonesha Watanzania milioni 21 bado hawajafikiwa na huduma za kifedha wakati Duniani inafikia idadi ya watu Bilioni 1.4, hivyo fursa za Ushirika huo zina kila sababu ya kuchangamkiwa hapa nchini.

Maadhimisho hayo yalitanguliwa na wiki ya Ushirika iliyoanza Septemba 16 iliyowapa Wananchi wa Mwanza kupata taarifa za shughuli za Ushirika huo na faida zake.

Mkoa wa Mwanza utakuwa mwenyeji tena Kitaifa mwakani wa shughuli za Ushirika huku uboreshaji zaidi ukiahidiwa kuwepo

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.