• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima awaalika wakazi wa Mwanza na Mikoa jirani kufika Sekou Toure kupata vipimo na matibabu kutoka kwa Madaktari Bingwa

Posted on: December 2nd, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Adam Malima amewaalika wananchi waishio Mkoani humo na jirani kuitikia wito wa kupata vipimo vya magonjwa mbalimbali kwenye viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure kuanzia Disemba 05 -09, 2022.

Mhe. Malima amesema kwa siku zote hizo tano kutakua na Madaktari Bingwa kutoka Sekou Toure kwa kushirikiana na Hospitali ya Kanda ya Bugando ambapo watafanya vipimo bure kwa wananchi katika magonjwa mbalimbali kuanzia saa 2 asubuhi hadi 12 jioni.

Aidha, amesema wananchi watapata nafasi ya kuangaliwa afya zao na kupata ushauri wa kitaalamu dhidi ya Magonjwa mbalimbali na kwamba matibabu yatafanyika kwa gharama nafuu na bima mbalimbali za afya zitapokelewa kwa matibabu.

Vilevile, ametoa wito kwa wananchi kuwa na bima za afya kwani magonjwa hayabishi hodi na yanatokea wakati mtu hana fedha hivyo mwananchi akiwa na bima itamsaidia kupata huduma bora.

Hata hivyo, ametumia wasaa huo kutoa wito kwa wataalamu hao wa afya kutoa elimu kwa umma dhidi ya magonjwa mbalimbali hasa yanayowakabili zaidi wananchi wa kanda ya ziwa ili jamii iweze kubaini na kujikinga nayo.

"Kuanzia wiki ijayo kwa kushirikiana na hospitali ya Bugando, kwenye Hospitali yetu tutakua na kambi ya Madaktari bingwa kwa kada Mbalimbali ambao watatoa huduma  kama za Upasuaji, Uzazi, Watoto, akina mama na watoto, Mionzi, Meno, macho, Damu, mfumo wa Chakula na afya ya akili hivyo nawakaribisha wananchi wote kufika kwa wingi kupata huduma." Dkt. Bahati Msaki, Mganga Mfawidhi Sekou Toure.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.