• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima awahimiza Wananchi Mwanza kuelimika na kuchangamkia Bima ya Afya kwa wote

Posted on: January 24th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amewahimiza Wananchi Mkoani humo kuelimika vya kutosha na kuchangamkia mfumo wa Bima ya Afya kwa wote ambao ni Mkombozi kwa Mtanzania.

Akizungumza leo na wawakilishi wa makundi mbalimbali kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa lengo la kuelimishana kuhusiana na mfumo huo mpya unaokuja, Mhe. Malima amesema Muswada huo baada ya kuwa Sheria na kupitishwa na Bunge ni jukumu la kila mwananchi kupata huduma hiyo.

"Nina kila sababu ya kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ameimarisha miundombinu ya Sekta ya Afya ambapo mwananchi sasa hapati usumbufu wa kutembea umbali mrefu kusaka huduma hiyo". Amesema Mhe. Malima.

Amesema siku zote ugonjwa haubishi hodi na mfumo huu wa Bima kwa wote unatumika duniani kote na Tanzania imepiga hatua nzuri tofauti na Mataifa yaliyoendelea ambayo yamekutana na changamoto kadhaa.

"Watanzania wana kila sababu ya kuchangamkia fursa hii ambayo itamgusa kila mtu hata asiye na uwezo kwani Serikali itakuwa ikitenga kila mwaka Shs Bilioni 359 kwa ajili ya wale wasio na uwezo kupata huduma hii na Shs Bilioni 149 kwa wale watakaoingia wakati mfumo unaendelea na hawana uwezo". Emmanuel Mwikabwe Meneja wa Mfuko wa Bima.

"Wanachana wa Mfuko wa Bima wa CHIF wataendelea kuwa hai hadi mwisho wa mwaka uanachama wao utakapo Kona na wataingia kwenye mfumo huu mpya". Dkt.Bahati Msaki, Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Ture.

Mkutano huo wa kuelimishana umewakutanisha Wakuu wa Wilaya zote, Waganga Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, wawakilishi wa viongozi wa Dini, Wafanya biashara ndogo ndogo na viongozi wa Sekta ya usafirishaji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.