• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima awakaribisha wananchi kumpokea Makamu wa Rais Mhe.Dkt.Philip Mpango siku ya kesho asubuhi

Posted on: April 10th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amewakaribisha wananchi wote wa mikoa ya jirani kuja kumpokea kwa shangwe Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango atakapowasili Kijiji cha Hungumalwa Wilayani Misungwi kesho asubuhi akitokea Mkoani Shinyanga.

Akizungumza leo katika mkutano na Vyombo vya Habari kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Mhe.Malima amesema mara baada ya kumpokea Makamu wa Rais ataelekea kwenye mradi wa Uzalishaji wa ng'ombe bora wa maziwa na nyama kwenye shamba la Mifugo la Mabuki lililopo Wilayani Misungwi.

"Hapo kwenye mradi wa Uzalishaji wa ng'ombe bora wa maziwa na nyama napenda kuwaona wananchi wengi kwani kuna mengi na muhimu ya kujifunza namna ya ufugaji wa kisasa na siyo uchungaji,kuchunga ni kutembea na ng'ombe umbali mrefu bila ya kuwa na tija yoyote".Amesisitiza Mhe.Malima.

Amesema lengo la Mkoa wa Mwanza ni kuwahamasisha wananchi kuwa wafugaji bora na mifugo yao iwe na tija kwa maziwa na nyama,pia itakuwa faida kwenye viwanda vya nyama kwa kupata ngo'mbe bora.

"Namshukuru Mhe.Rais kwa kutuletea ng'ombe bora 500 ambao wataleta matokeo chanya ya kupata ng'ombe bora,vilevile wapo Vijana 85 wanaoendelea kupata utaalamu wa ufugaji bora hapo Mabuki."Mhe.Malima.

"Sisi kama Wizara kwanza tunamshukuru sana Mkuu wa Mkoa Mhe.Malima kwa kutambua umuhimu wa shamba hilo la mifugo na kuliingiza kwenye ratiba ya Makamu wa Rais,mpango wetu ni kulifanya shamba hilo kuwa la mfano ukanda huu wa Afrika Mashariki."Mhe.Abdallah Ulega Waziri wa Uvuvi na Mifugo.

Aidha, Makama wa Rais Mhe.Dkt.Philip Mpango siku ya Jumatano saa mbili asubuhi atafungua kikao cha tathmini ya utendaji wa shughuli za Mahakama ya Tanzania kwenye ukumbi wa mikutano Malaika Beach Resort,baada ya hapo atapata wasaa wa kuwasalimia wananchi eneo la Buswelu Centre Wilayani Ilemela.

Akiwa njiani kurudi Dodoma Mhe.Mpango atasimama eneo la Kisesa Wilayani Magu na kuwasalimia wananchi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.