• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

Posted on: May 23rd, 2025

RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa pongezi kwa Uongozi wa Benki ya NCBA kwa kuandaa jioni maalumu kwa ajili ya kuwaenzi wateja wake wa thamani huku akisema hatua hiyo inakumbusha taasisi za kifedha na zingine kuwa kuna haja ya kuwapa heshima wateja wake.

Mkuu wa Mkoa ametoa pongezi hizo usiku wa leo Mei 23, 2025 alipokuwa akizungumza katika tukio la chakula cha jioni kwa ajili ya wateja wa Benki ya NCBA lililofanyika katika ukumbi wa Gold Crest Hotel ambapo ameipongeza benki hiyo kwa kuja na wazo la kuchangamana na wateja wake.

“Uwepo wa wateja hapa leo ni moyo wa maendeleo ya benki ya NCBA, pia ni moyo wa kanda ya ziwa,.biashara zenu, Uwekezaji wenu, mawazo yenu, ndoto zenu, vyote vinachangia ukuaji wa uchuki wa Mkoa wa Mwanza na Taifa kiujumla." Amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ameipongeza benki hiyo kwa kuja na jukwaa jipya ka huduma za kibenki mtandaoni na kampeni ya mpya ya Maisha ni Hesabu, hii ikiwa ni dalilo ya wazi kuwa benki iliyo ya kisasa inayojali na inayoangalia mbele.


Tutaendelea kuhakikisha mnaendelea kuwa chachu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Mkoa wetu. Tutahakikisha mazingira yanaendelea kuwa salama na rafiki kwa biashara na uwekezaji wenu.

Amesema Mkuu wa Mkoa.

Sambamba na hayo Mhe. Mtanda amesema juhudi kubwa zimefanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuimarisha Sekta ya fedha na hususani Maendeleo ya Kibenki. Hivyo, wao katika Serikali ya Mkoa wataendelea pia kuweka mazingira mazuri ya kila mfanyabiashara kutekeleza majukumu yake bila kuvunja sheria.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • TUNAHITAJI SULUHISHO KWA VITENDO NAMNA YA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA MALEZI : DKT. JINGU

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.