• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AKABIDHI MAGARI YA BILIONI 1.3 KWA JESHI LA POLISI

Posted on: September 12th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekabidhi Magari kwa jeshi la polisi la Mkoa huo yenye thamani ya zaidi ya Tshs. Bilioni 1.3 yatakayotumika na Mkuu wa Makosa ya jinai Mkoa, Mkuu wa Kikosi cha kutuliza Ghasia na Sita kwa wapeleelzi na Makosa ya jinai wa Wilaya.

Akikabidhi leo Septemba 12, 2025 katika viwanja vya jeshi la polisi mabatini wilayani Nyamagana ikiwa ni sehemu ya mpango kazi wa kutekeleza ahadi za Mhe. Rais za kuboresha jeshi hilo amewataka kutumia magari hayo kulinda amani na sio kutishia wananchi.

Aidha, amelitaka jeshi hilo kuendelea kufuata sheria na kanuni zao katika kukamata, kupeleleza na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wenye makosa bila uonevu.

"Jeshi la polisi ni jeshi muhimu sana, wananchi wakiliamini ni kielelezo cha uimara wa taifa na kwamba hawatakiwi kukata tamaa kufuatia kutowaamini hivyo kasimamieni sheria na sio kutisha watu." Amesema Mhe. Mtanda.

Vilevile, amelitaka jeshi hilo kujiendeleza kitaaluma, kufanya mafunzo, kufuata taratibu, sifa na uweledi wa kusimamia jeshi la polisi kwakua ndio vitu ambavyo vitasaidia katika kupandishwa vyeo pamoja na kujiendeleza huku akisisitiza kutumia vifaa walivyopatiwa kuimarisha usalama na ulinzi.

Pia, amempongeza Kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkoa Wilbroad Mutafungwa kwa kutekeleza majukumu yake hasa kuhakikisha nidhamu kwa kikosi chake na utulivu kwa mkoa wa Mwanza tangu kuanza kampeni za uchaguzi.

Naye, Kamanda wa Polisi Mkoa Afande Wilbroad Mutafungwa amebainisha kuwa magari hayo yatasaidia kudhibiti shughuli za uhalifu kwa kiasi kikubwa kwani vitendea kazi hivo vimeongeza utendaji Kazi kwa jeshi hilo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI YA BILIONI 1.3 KWA JESHI LA POLISI

    September 12, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI NCHINI

    September 11, 2025
  • MAJALIWA AAGIZA KUIMARISHWA ZAIDI SEKTA YA UFUATILIAJI, TATHMINI NCHINI

    September 11, 2025
  • NSSF WAFANYA ZIARA YA UWEKEZAJI MWANZA

    September 10, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.