• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATAKA WATOTO WARIPOTI SHULE MARA MOJA, WALIMU WATAKIWA KUWAPOKEA KATIKA HALI YOYOTE

Posted on: January 16th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha wanatimiza wajibu wao wa kuwanunulia watoto vifaa muhimu vya masomo na kuwapeleka shuleni mara moja bila kuchelewa.

Agizo hilo limetolewa wilayani Kwimba wakati Mkuu wa Mkoa alipokuwa akikagua ujenzi wa madarasa sita na matundu 18 ya vyoo katika Shule ya Awali na Msingi Ilula miradi inayotekelezwa kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 195.3.

Katika ziara hiyo Mhe. Mtanda alibaini hali duni ya uripoti wa wanafunzi ambapo ni wanafunzi 51 pekee kati ya 150 walioandikishwa ndio walioripoti shule.

Kutokana na hali hiyo Mhe. Mtanda amewaagiza wenyeviti wa vijiji na mitaa kuhakikisha wanapiga mbiu na kuwakumbusha wazazi na walezi kuwapeleka watoto shuleni akisisitiza kuwa muhula wa masomo tayari umeanza tangu mwanzoni mwa juma.

“Ninawaagiza wazazi na walezi watimize wajibu wao wa kuwanunulia watoto vifaa muhimu vya masomo na wenyeviti wa vijiji na mitaa wahakikishe wanapiga mbiu ya kuwakumbusha wazazi kuwapeleka watoto shuleni mara moja, kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa,” alisema Mhe. Mtanda.

Aidha Mkuu wa Mkoa ametoa katazo kwa walimu wakuu na wakuu wa shule kutoanzisha au kutochangisha michango yoyote isiyo na miongozo utaratibu au ambayo haijapitishwa na mamlaka halali akibainisha kuwa vitendo hivyo huwakwamisha wanafunzi na kuwanyima haki yao ya kupata elimu bila vikwazo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MPYA YA MV NEW MWANZA, ATOA MAAGIZO KWA MIRADI ILIYOSIMAMA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI SAHWA -MWANZA

    January 23, 2026
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA INAJALI MAISHA YA WANANCHI WAKE - WAZIRI MKUU

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU ATUA MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

    January 23, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.