• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATOA SOMO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI MWANZA

Posted on: February 26th, 2025

RC MTANDA ATOA SOMO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI MWANZA


Kaimu Katibu Tawala Msaidizi idara ya Uchumi na Uzalishaji Bw.Peter kasele amewataka Maafisa wasafirishaji wa mizigo na abiria mkoani Mwanza kufuata sheria za Ushirika.

Amesema hayo leo february 26, 2025 kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza katika ukumbi wa Victoria Palace katika hafla ya kukabidhi vyeti vya ushirika kwa kundi hilo (UWAMWA) kutoka ofisi ya Mrajisi ya Mkoa.

“Rai yangu kwa UWAMWA nawahimiza kuzingatia sheria na kanuni za Ushirika na sheria zingine za nchi, wataofanya ubadhirifu na kusababisha hasara katika vyama hivi hatua kali za zitachukuliwa dhidi yao”. Amesema Kasele.

Amezungumzia pia dhima ya Serikali katika kuhakikisha wanashirikiana kwa karibu na Wizara ya mifugo na uvuvi na benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania ili kuinua uchumi na kijamii kwa wanachama.

Kwa upande wake mwakilishi wa Mrajisi Msaidizi Mkoa wa Mwanza Ndg. Leo Zephania amewapongeza viongozi waanzilishi kwa kazi nzuri waliofanya hadi kufanikisha usajili wa chama chao,amewataka viongozi waliochaguliwa kuzingatia sheria ya vyama vya Ushirika Na 6 ya mwaka 2023 na sheria nyingine za nchi katika kutekeleza majukumu yao.

Aidha amewashauri kuzitumia Ofisi za Ushirika wilaya na Mkoa kwa ushauri wa masuala ya uendeshaji wa chama chao,na pia amesisitiza suala la ushirikiano ndani ya chama pamoja na wadau wengine wa maendeleo kwa lengo la kuongeza ufanisi wa shughuli za chama.

Naye, mwakilishi wa mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini ( LATRA) Bi. Maria Chacha ameweka wazi dhamira na matarajio ya kufikisha huduma kwa 90% kidigitali mpaka 2026.

Vilevile, ameomba ushirikiano kwa wadau na madereva wote wa vyombo vya usafiri huku akiahidi Ushirika umekuja na jawabu la kuwapatia madereva mikataba ya kazi ili kuwawezesha kufanya kazi kwa weledi na uaminifu kwa sababu hapo mwanzo hapakuwa na mikataba jambo ambalo limesababisha kuwepo kwa migogoro mingi na kuibiwa kwa vyombo vingi vya usafiri.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AKOSHWA NA BONANZA LA USHIRIKA NA MABENKI

    May 14, 2025
  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BONDE LA ZIWA VICTORIA KWA KUELIMISHA UMMA

    May 13, 2025
  • RC MTANDA ASISITIZA UIMARISHWAJI WA UMOJA NA MSHIKAMANO

    May 12, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.