• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWAKUMBUSHA WANANCHI KUWAJALI WATOTO YATIMA

Posted on: March 26th, 2025

RC MTANDA AWAKUMBUSHA WANANCHI KUWAJALI  WATOTO Yatimie


Leo Machi 26, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said GB Mtanda ameandaa Iftar kwa Watoto Yatima wanaolelewa kwenye vituo vya Watoto Yatima katika Mkoa wa Mwanza ikiwa ni sehemu ya Ibada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Mkuu wa Mkoa amesema lengo la kufanya iftar hiyo ni kutii maagizo ya Mwenyezi Mungu ambaye yeye mwenyewe amesema mtu yeyote anaewakimbilia yatima na wajane basi amefunga hesabu na Mwenyezi Mungu.

Aidha Mkuu wa Mkoa amesema imekuwa mazoea kwa kutoa iftar na chakula lakini yeye amekuja na wazo la kuboresha maisha na makazi ya watoto kwa kuwa wamekuwa wakiishia kupata chakula tu lakini mazingira wanayoishi ni mabovu.

“Tumekubaliana kuwa tutafanya utafiti tuone ni vituo gani vina uhitaji wa maboresho ya makazi au uhaba wa vitu kama vile vitanda, magodoro na vifaa vingine kisha tuone tunawasaidiaje”.

Kadhalika ametumia wasaa huo kuendelea kuwataka wananchi wa Mkoa wa Mwanza kuitunza amani na kuendelea kuliombea Taifa, Viongozi na Serikali kiujumla chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ili Taifa liendelee kuwa salama.

Naye Shekhe wa Mkoa wa Mwanza Alhajj Hassan Kabeke amemshukuru Mkuu wa Mkoa kuendelea kufanya mambo makubwa na siyo kufturisha tu bali pia kwa kuwaandalia watoto hao mahitaji mbalimbali muhimu ambayo pia itawaondolea mzigo walezi na wahisani wa watoto hao kwa kipindi fulani.

“Lakini pia Mtume wetu S.W.S anasema nyumba yoyote ambayo yatima atatendewa mema viumbe wa mbinguni wataona nyota inang’aa na nina hakika kwa hadithi hii ya Mtume huko juu wanaulizana hiyo nyota ni ya wapi wanajibiwa ni Mwanza na huyo ni Said Mtanda ametambua nafasi ya Yatima”.

Umefanya vyema Mkuu wa Mkoa ninakupongeza sana. Ameongeza Shekhe Kabeke.

Wakizungumza katika nyakati tofauti tofauti Viongozoi wa Taasisi za kifedha Mwanza walioshirikiana na Mkuu wa Mkoa katika kuandaa Iftari hiyo wamemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa iftar hiyo ya Yatima na kuwaleta pamoja kushiriki ibada hiyo muhimu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.