• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWASIHI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA KAMATI ZA MAADILI

Posted on: May 13th, 2024

RC MTANDA AWASIHI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA KAMATI ZA MAADILI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama Mkoa Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa Tume ya Utumishi wa Mahakama nchini kutoa ushirikiano wa dhati ili kuimarisha Kamati za Maadili katika ngazi zote.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo leo Mei 13, 2024 wakati akitoa neno la ufunguzi katika mafunzo ya wajumbe wa Kamati za Maadili kwa Maafisa wa Mahakama Mkoani Mwanza yatakayodumu kwa siku mbili.

"Tume ya Utumishi wa Mahakama tunaisikia, tunaomba ushirikiano wenu wa dhati ili tuwe na uelewa wa pamoja katika shughuli za kila siku pamoja na kuimarisha Kamati za Maadili za Wilaya na hata ngazi ya Mkoa." Mhe. Mtanda.

Aidha, ametoa wito kwa taasisi hiyo kuhuisha mfumo wa utendaji wa Kamati za maadili ili kuzipa uhai kwa kuzingatia ratiba za shughuli zilizopangwa kwa mwaka ili kuhakikisha kunakua na vikao vya kisheria na kusaidia kusambaza uelewa wa pamoja kwa jamii.

Mtanda amesema, Kamati za Maadili zinasaidia sana kuijenga jamii kwa kutumia viongozi wa kisiasa hususani wakuu wa Wilaya ambao mara zote wamekua wakikutana na wananchi kwenye shughuli mbalimbali.

Naibu Katibu wa Tume (Maadili na Nidhamu) Alesia Mbuya amesema pamoja na mafunzo hayo Tume hiyo imekuja kuhuisha ushirikiano na kuzikumbusha Kamati za Maadili wajibu wao wanaopaswa kufuata kila wakati.

Vilevile, amebainisha mafanikio waliyopata Tume hiyo hususani kujenga uelewa kwa jamii wa masuala mbalimbali ya kimahakama na sheria na kutoa usaidizi kwenye uteuzi wa Majaji wa Mahakama kuu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.