• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA MAAFISA UHAMIAJI NA ASKARI KUWA NA NIDHAMU, KUEPUKA RUSHWA

Posted on: June 3rd, 2024

RC MTANDA AWATAKA MAAFISA UHAMIAJI NA ASKARI KUWA NA NIDHAMU, KUEPUKA RUSHWA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 3, 2024 amehudhuria hafla ya kuvishwa nishani Maafisa Ukaguzi na askari 203 kutoka Jeshi la Uhamiaji na kuwataka kutanguliza nidhamu na kuepuka rushwa kazini.

Akizungumza na Maafisa hao kwenye viwanja vya Ofisi ya Uhamiaji  Mkoa, Mtanda amebainisha hatua ya Rais kuwavisha nishani hizo ni kutokana na sifa walizonazo hivyo wanapaswa kuwa mabalozi wazuri kwa wengine.

"Nawapongeza sana kwa hatua hii, kumbukeni si jepesi hili na ndeleeni kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ili mtoe huduma bora kwa wananchi", Mkuu wa Mkoa.

Amesema kila eneo la kazi lina changamoto zake na Serikali inazitatua kadiri ya uwezo wake na akawataka Maafisa hao kusimamia vizuri usalama wa nchi kwa watu wanaoingia na kutoka.

Amempongeza pia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala kwa kuridhia hafla hiyo kufanyika mkoani Mwanza na kusisitiza Mkoa huo ndiyo kitovu cha biashara eneo la maziwa makuu.

"Nishani hizi tofauti nilizowavalisha leo kwa niaba ya Rais, tambueni ni heshima aliyoitoa kwa majeshi yetu tukitimiza miaka 60 ya Muungano wetu, mkaongeze bidii ya kazi na kuwa mfano kwa wengine,"Dkt. Anna Makakala, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji.

Kamishna Jenerali huyo amewavisha nishani tofauti kwa Maafisa Wakaguzi na askari wa Uhamiaji kutoka mikoa ya Mwanza, Kagera, Simiyu, Geita, Kigoma, Mara, Tabora na Shinyanga.

Nishani walizovalishwa Maafisa hao  ni ya Muungano,Utumishi uliotukuka,Utumishi wa muda mrefu na tabia njema na utumishi wa muda mrefu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.