• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA VIJANA KUTUMIA SIMU JANJA KUJILETEA MABADILIKO YA KIUCHUMI

Posted on: November 29th, 2024

RC MTANDA AWATAKA VIJANA KUTUMIA SIMU JANJA KUJILETEA MABADILIKO YA KIUCHUMI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka Vijana wa Mkoa wa Mwanza kutumia simu janja kwa matumizi sahihi ili waweze kujiletee manufaa katika kujikwamua na umaskini na kuacha kutumia muda mwingi katika mitandao kwa kutukana watu na kuwachafua.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo leo Novemba 29, 2024 wakati alipokuwa akizindua dukala simu la Zahor Matelephone lililopo Mtaa wa Lumumba Jijini Mwanza,  Mhe. Mtanda amesema simu janja zinaweza kutumiwa vizuri na kuondoa umaskini kupitia biashara mtandao.

"Wako wananchi wa Vijijini wanaweza kuangalia bei za mazao kwenye minada kupitia simu za Zahor Matelephone ambazo zinauzwa elfu 70, lakini wavuvi wanaweza kuangalia hali ya hewa kupitia smartphone ndipo wakaingia ziwani".

Sasa kushinda kwenye mtandao asubuhi hadi jioni, unaangalia habari ambazo hazina tija ni kupoteza muda na duniani hakuna kitu cha thamani kama muda, wakati ni ukuta, tukiutumia vibaya tunajiondoa katika ule mzunguko wa kujitoa katika hatua moja kwenda nyingine ya kimaisha. Ameongeza Mhe. Mtanda.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amesema Serikali itaendelea kumaliza changamoto hatua hatua  ambapo kwa siku kadhaa zijazo soko la kimkakati la Mjini Kati litafunguliwa rasmi ambapo wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati watapatiwa sehemu ya kujipatia riziki.

Sambamba na hayo Mhe. Mtanda amewashukuru wananchi wa Mkoa wa Mwanza waliopata nafasi ya kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa amani, na amewataka wananchi kuendelea kuchapa kazi ili waweze kujipatia riziki kwa kuwa uchaguzi sasa umekwisha.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.