• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA WANA ILEMELA KUTUMIA VYEMA TAREHE ZA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: September 23rd, 2024

RC MTANDA AWATAKA WANA ILEMELA KUTUMIA VYEMA TAREHE ZA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wananchi wa Wilaya ya Ilemela kuhakikisha wanatumia vilivyo terehe 11 - 20 Oktoba 2024 kwa kujiandikisha katika daftari la uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji .

Mhe. Mtanda amesema wakati watu wa makundi mengine wako na agenda zao za kuzurura amewataka wana Ilemela kutumia fursa hiyo katika kujiandikisha kwa wingi ili wakawachague viongozi ambao ni sahihi kwa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Mkuu huyo wa Mkoa ameyasema hayo mapema leo Septemba 23, 2024 wakati akizungumza na Viongozi na wananchi zaidi ya elfu tatu waliojitokeza katika mkutano maalumu wa kujadili namna ya ushiriki wa kilele cha mbio za mwenge utakaofanyika Kitaifa katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mkoani Mwanza.

"Miaka 60 siyo mchezo, mwenge una mri mkubwa kuliko umri wa watu wengi hapa, sasa sio mchezo miaka 60 mwenge ukiwa unawaka katika nchi yetu hivyo kushirkki katika hafla hiyo ni neema kubwa sana" Amesema Mhe. Mtanda.

Naye Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobass Katambi (MB), amesema mwenge unaleta kumbukizi ya tulikotoka, kumbukizi ya viongozi wetu waliotangulia mbele za haki, lakini  pia ni heshima kubwa kwa mwenge kufika Mkoani Mwanza huku tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi kwa kuwa ni hamasa pia.

Kadhalika amewataka wananchi hao kwenda kuhamasisha wananchi wengine kushiriki katika kilele cha mbio za mwenge pale CCM Kirumba na kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia kwa yale maendeleo makubwa aliyoyafanya katika Mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.