• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AZINDUA RASMI KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA YA MKOA

Posted on: February 17th, 2025

RC MTANDA AZINDUA RASMI KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA YA MKOA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameizindua rasmi kamati ya ushauri wa kisheria ngazi ya Mkoa na kutoa wito kwa wajumbe wa kamati hiyo kufanya kazi kwa weledi.

Akizungumza na wananchi waliohudhuria uzinduzi huo leo kwenye viwanja vya Ofisi ya mkuu wa mkoa, Mtanda amesema kuwa kamati hiyo itasaidia wananchi kwa kupata huduma ya kisheria bila malipo.

"Nawaomba sana wajumbe wa kamati hii iliyojaa wataalamu fanyeni kazi kwa weledi, tutawatathmini kuona mnavyowahudumia wananchi", amesisitiza mkuu wa mkoa wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo.

Aidha, Mhe. Mtanda amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mpango huo wa kuwasogezea karibu wananchi huduma  hiyo ya kisheria huku migogoro mingi ya ardhi ikiongoza.

"Ofisi yangu kila siku ya Jumanne tunasikiliza kero za wananchi, idadi kubwa ya wananchi wanaofika wanasumbuliwa na migogoro ya ardhi, sasa kamati hii naomba mtambue kuwa sitapenda kuona wananchi wanatoa malalamiko haya kwa viongozi wa juu", ameongeza.

Ametoa pia maelekezo kwa wakuu wote wa Wilaya mkoani Mwanza kwenda kuziunda kamati hizo ngazi za wilaya ambazo zitashirikiana na kamati ya Mkoa kutatua kero za wananchi.

Akitoa taarifa fupi kuhusiana na kamati hiyo, mwakilishi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bi. Neema Ringo amesema zaidi ya kesi 500 kwa mwaka wanazipokea za wananchi kuishtaki Serikali, hivyo kuundwa kwa kamati hiyo itapunguza kesi hizo.

Mpango huo ulizinduliwa rasmi Machi 21, 2024 na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.