• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AZUNGUMZA NA WAZEE WA KWIMBA AWAAHIDI KUMALIZA KERO ZA MAJI NA BARABARA

Posted on: June 6th, 2024

RC MTANDA AZUNGUMZA NA WAZEE WA KWIMBA AWAAHIDI KUMALIZA KERO ZA MAJI NA BARABARA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda amesema Serikali ipo mbioni kumaliza kero ya maji kwa wananchi wa Ngudu na wote wilayani Kwimba kwa kujenga mradi mkubwa pamoja na kuharakisha uwekaji Lami kwa kilomita 3 za mjini na baadae kupeleka hadi Mabuki.

Mhe. Mtanda ametoa ahadi hiyo leo Juni 06, 2024 wakati akizungumza na Wazee wa Kwimba katika kikao chake kifupi alichoketi nao kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo.


"Leo nimefanya kazi kama ya Tomaso maana nimeona na kuamini kuwa Ngudu na Kwimba kwa ujumla wanapata adha ya barabara na nawaahidi tutaanza kujenga hizo Kilomita 3 za hapa na baadae tutatafuta fedha ili kuunganisha Kilomita zote 26 hadi barabara kuu kule Mabuki", amesema Mhe. Mtanda.

Aidha, ametoa wito kwa vituo vya afya, zahanati na Hospitali ndani ya Wilaya hiyo na zingine kuhakikisha wanatoa upendeleo kwa wazee kwa kuimarisha  madirisha ya kuhudumia wazee wanapofika kwenye vituo hivyo kupata huduma za afya.


"Watoto wa kike wapewe fursa ya kusoma, ni uwekezaji mkubwa kuliko kupokea ng'ombe wa mahari, tuwaache wasome ili baadae wawe madaktari wazuri na waweze watusaidie" amesisitiza Mkuu wa Mkoa.


Naye, Mzee Edward Seneda Mwenyekiti wa Wazee Kwimba amezungumzia furaha yake kwa kupata fursa ya kuzungumza na  Mkuu wa Mkoa na kueleza changamoto zao na kuzichukua kwa ajili ya kuzifanyia kazi siku za usoni.

Shekhe wa Wilaya na Kiongozi wa Kamati ya Amani na Kiongozi wa Sungusungu wametumia wasaa huo kushukuru Serikali ya wilaya kwa kuwajali na kushirikiana nao kwenye shughuli mbalimbali na wamemtakia Mkuu wa Mkoa kheri katika shughuli zao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.