• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA KUZUNGUMZA NA WIZARA KUCHAGIZA UJENZI WA BARABARA MWANZA

Posted on: December 20th, 2024

RC MTANDA KUZUNGUMZA NA WIZARA KUCHAGIZA UJENZI WA BARABARA MWANZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema ofisi yake itaandika barua kwenda wizara ya ujenzi kukumbushia utekelezaji wa barabara katika maeneo mbalimbali mkoani humo ambazo zimekwama kwa muda mrefu.

Ameyasema hayo leo tarehe 20 Desemba, 2024 wakati wa kikao cha bodi ya barabara ya Mkoa wa Mwanza kwa mwaka wa fedha 2024/25 kilichoketi katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa.

Mhe. Mtanda amesema kuna barabara kadhaa zimekwama kukamilika Mkoani humo kutokana na sababu mbalimbali hususani malipo ya wakandarasi na ukamilishi wa taratibu za usanifu hivyo ni wakati sasa kwa ofisi yake kuwaandikia barua kufuatilia kwa karibu ujenzi huo.

Akitolea mfano wa barabara zinazotekelezwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kama Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami ya Sengerema - Nyehunge yenye urefu wa zaidi ya Kilomita 50 ni kwamba imekwama kwa zaidi ya miaka 2 sasa.

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza Mhandisi Ambrose Pascal amesema Mtandao wa barabara za Mwanza ni muhimu sana hususani kwa uchumi wa wafugaji na wakulima hivyo serikali inajitahidi kwa kadiri ya upatikanaji wa bajeti kuhakikisha zinajengwa na kukarabatiwa.

Aidha, ametoa wito kwa wananchi kununua hati fungani ya uwekezaji wa miundombinu ya barabara (Samia Bond) inayolenga kukusanya fedha kwa ajili ya kukusanya fedha ili zitekelezwe barabara zinazosimamiwa na TARURA kwa kipindi cha miaka mitano ambapo mnunuzi anapata riba ya asilimia 12 kwa mwaka.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.