• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mwanza ahaidi kuendelea kushirikiana na Vyombo vya Habari katika kuuletea Maendeleo Mkoa huo

Posted on: June 4th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel ameahidi kuendelea kushirikiana na Vyombo vya Habari katika kuuletea Maendeleo Mkoa huo.


Mhe Gabriel amesema hayo katika hafla ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo ki-Mkoa yamefanyika Juni 3 Jijini Mwanza na kusisitiza Vyombo vya Habari ni nguzo muhimu nchini katika kuelimisha,kuhabarisha na kuburudisha.


"Mwanza ni Mkoa wa Kimkakati tuna Miradi mingi yenye lengo la kuwaletea Maendeleo Wananchi hivyo mchango wa Vyombo vya Habari hapo unahitajika ili Umma ujue kinachoendelea kwa faida yao" Mkuu wa Mkoa.


Aidha Mkuu wa Mkoa amewakumbusha Waandishi wa Habari kutokubali kuyumbishwa na wachache wenye maslahi yao binafsi badala yake kuzingatia misingi ya Taaluma yao.


"Kalamu yenu ni muhimu sana ikienda tofauti madhara yake ni makubwa angalieni wenyewe baadhi ya machafuko yaliyotokea na yanayojiri sasa kwa baadhi ya Mataifa mengine yamechangiwa na Wananchi kupotoshwa na kuzua ghasia" amesema Mhe Gabriel.



Katika hafla hiyo Mhe Gabriel pia amezindua Akaunti Maalum ya Chama cha Waandishi wa Habari Mwanza,MPC iliyopo Benki ya Mkombozi kwa lengo la kuchangia ujenzi wa Ofisi ya Chama hicho.


Mwenyejiti wa Chama cha Waandishi Mwanza,Edwin Soko amesema kwa muda wa miaka mitatu wamekuwa wakifanya Maadhimisho hayo Kanda ya Ziwa na yamekuwa na faida kubwa kutokana kupata wasaa wa kukutana na Wadau mbalimbali na kujenga mshikamano wa pamoja.

Amesema mkakati uliopo sasa ni kuyafanyia Maadhimisho hayo Kitaifa na kuweka sasa mkazo katika kuutangaza Mkoa wa Mwanza katika Sekta zote vikiwemo vivutio vyake vya kitalii.


Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yamefanyika Kitaifa Mei 27 Mkoani Arusha na Mwanza walilazimika kuyasogeza mbele hadi Juni 3 kuyapisha ya Kitaifa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.