• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MWANZA AHIMIZA USHIRIKIANO NA WADAU WA UJENZI

Posted on: February 16th, 2025

RC MWANZA AHIMIZA USHIRIKIANO NA WADAU WA UJENZI.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amesema dhamira ya Serikali ni kuendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya ujenzi ili kuhakikisha wananufaika na miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan mkoani humo.

Akizungumza katika hafla ya wadau wa sekta ya ujenzi, Iliyoandaliwa na kampuni ya magic builders international limited Tanzania Mhe. Mtanda amebainisha kuwa Serikali inatambua mchango wa mafundi katika maendeleo ya miundombinu na itahakikisha maslahi yao yanalindwa.

Pia ameahidi kushughulikia changamoto ya mafundi kucheleweshewa malipo pindi wanapomaliza kazi kwenye taasisi mbalimbali wakiwemo watu na makampuni.

Katika hafla hiyo mkuu wa mkoa wa Mwanza amekabidhi vifaa vya shule yakiwemo madaftari kwa watoto zaidi ya 300 wa mafundi hao, ambavyo vimetolewa na kampuni ya magic builders international limited ili kuongeza chachu kwa watoto hao kupenda elimu.


Kwa upande wao, mafundi wamezungumzia utayari wa kushirikiana na Serikali katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Aidha, wameiomba Serikali kurasimisha kundi lao, likiwemo la mafundi rangi, ili waweze kupata fursa kama mikopo na huduma nyingine zinazotolewa kwa makundi mengine kama kundi la waendesha bodaboda.

Katika hotuba yake, Mtanda pia amewaonya vijana wanaoeneza dhana potofu kuwa mtu anaweza kupata pesa bila kufanya kazi ambapo amesisitiza kuwa huo ni upotoshaji mkubwa kwa vijana ambao ndiyo nguvu kazi ya Taifa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.