• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Shigella ayafunga maonesho ya Nanenane Mwanza na kutoa Rai kwa washiriki kuyatumia kuelimika

Posted on: August 8th, 2022

Maonesho ya Nanenane Mkoani Mwanza yamefungwa rasmi leo agosti 08, 2022 huku rai ikitolewa kwa washiriki hao kutumia Elimu waliyoipata kutoka kwa wadau mbalimbali wa Kilimo na mifugo kama njia ya kuzidi kuongeza tija kwenye mazao na kuboresha shughuli zao.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martin Shigella katika hotuba yake ya Ufungaji kwenye Viwanja vya Nyamhongolo amesema kwenye maonesho hayo kuna fursa za kuonana na Wataalam mbalimbali kuanzia Kilimo na masuala ya fedha ambao watamsaidia mkulima au mfanyabiashara kufanya kazi kwa ufanisi.

"Haya ni maonesho yangu ya kwanza kushiriki nikiwa Mkuu wa Mkoa wa Geita nimeyazungukia mabanda na kushuhudia fursa nyingi ambazo zikitumiwa vizuri zitainua uchumi wa washiriki." Mkuu wa Mkoa Geita

Mhe. Shigella amebainisha kuwa, hakuna sababu ya mfugaji kujivunia wingi wa Ng'ombe wakati hawamnufaishi ipasavyo kutokana na kukosa ushauri wa kitaalamu hivyo huu ni wakati wa kubadilika.

Akimkaribisha katika ufungaji huo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Adam Malima amesema kuna kila sababu ya kuyaboresha maonesho hayo hasa baada ya kushuhudia hamasa kubwa ya wananchi na washiriki.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya maonesho ya Nanenane Mkoa Emil Kasagara amebainisha maonesho hayo yamekuwa na muitikio chanya kila mwaka kutokana na maandalizi bora wanayofanya.

Kwa upande wa washindi wa zawadi kwa Washiriki Wilaya ya Magu imeonesha kuibuka kimasomaso kutokana na zawadi nyingi kwenda kwa Washiriki kutoka wilayani humo.

Maonesho ya Nanenane Kanda ya Ziwa Magharibi yameshirikisha Mikoa ya Geita,Kagera na mwenyeji wao Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.