• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RMO MWANZA AFUNGUA MAFUNZO YA KIKANDA YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

Posted on: March 4th, 2025

RMO MWANZA AFUNGUA MAFUNZO YA KIKANDA YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO


Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amefungua mafunzo ya kukabiliana na magonjwa ya

Ebola, Maburg, Mpox Ebola na cholera jijini Mwanza yaliyolenga kuweka uthibiti wa maambukizi na uzuiaji wa magonjwa ya milipuko.

Ufunguzi huo umefanyika mapema leo Machi 4, 2025 katika ukumbi wa Gold crest ambapo walihudhulia wadau mbalimbali kutoka ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kama vile Tanzania, Kenya, Uganga,Rwanda, Sudan kusini na wawakilishi kutoka Ujerumani.


Dkt. Lebba amewataka washiriki kutumia mafunzo hayo kama njia ya kuimarisha mifumo na kulinda jamii dhidi ya magonjwa tishio, huku akiweka wazi umuhimu wa kutumia mifumo hiyo katika jamii.

”sote tunafahamu madhara ya milipuko ya hivi karibuni nchini Congo, Uganda, Rwanda, hata hapa Tanzania, hivyo lazima tuendelee kuwekeza katika mafunzo ili kudhibiti maambukizi ya kinga (IPC) na matumizi sahihi ya vifaa ya kujikingia (PPE)”. Amesema Dkt. Lebba.

Kwa upande wake Dr. Eric Nzeyimana ambaye ni mkuu wa idara ya Afya ya EAC amesema mafunzo hayo ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu wa kuimarisha usalama katika ukanda wa afrika mashariki.

Aidha, ameweka wazi juhudi za kuendelea kujifunza kutokana na milipuko ya awali ili kuboresha mwitikio kwa siku zijazo na akawataka wahudumu wa afya kukabiliana na changamoto hizo kwa ujasiri na ujuzi wa kutosha.

Naye, Mheshimiwa Bw. Edouard Nkuzimana kutoka katika kitengo cha Uandaaji na Ujibuji wa Dharura, Afrika amewataka watu kutoa taarifa kwa wakati pale ambapo wahapohisi dalili kwa kuzingatia usalama wa raia.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.