• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA KIMATAIFA KUIMARISHA UPATIKANAJI MAJI MWANZA

Posted on: September 20th, 2024

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA KIMATAIFA KUIMARISHA UPATIKANAJI MAJI MWANZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo tarehe 20 septemba, 2024 amewapokea na kufanya mazungumzo mafupi na viongozi kutoka Benki ya uwekezaji ya Ulaya (European Investiment Bank- EIB) wenye nia ya kuboresha usambazaji maji kutoka chanzo cha Butimba.

Akizungumza na ujumbe huo uliofika kufanya upembuzi wa kukidhi vigezo vya kupata fedha kwa ajili ya mradi wa awamu ya pili wa Usambazaji Maji, Mhe. Mtanda amewashukuru kwa kushirikiana na serikali kwenye sekta hiyo muhimu.

Amesema, chanzo cha Capripoint kilichokua kikizidiwa na ongezeko la watu na kusababisha changamoto ya maji Mkoani humo ndipo serikali ikajenga chanzo kipya cha Butimba hivyo usambazaji ambao EIB unatarajia kuufanya umekuja muda sahihi kabisa.

"Mwanzo ina watu zaidi ya milioni 3 na hasa mjini ndio kuna ongezeko kubwa zaidi, tukiwa na maji ya kutosha na usambazaji wa uhakika tutakua na uhakika wa Afya bora kwa jamii na kuongeza thamani ya uchumi wa mkoa kupitia shughuli za uzalishaji." Amesema Mkuu wa Mkoa.

Akimkaribisha Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) Bi. Nelly Msuya amesema mradi huo (Phase 2 na 3) utaimarisha upatikanaji wa maji kwa kusambaza mtandao kwa kilomita 700 kwenye wilaya za Ilemela, Nyamagana, Magu na Misungwi.

Naye, Afisa Mikopo wa EIB kwa Ukanda wa Afrika Bi. Lily Munyigi amesema wana furaha kufanya kazi na Serikali tulivu ya Tanzania na kwamba wanafurahia ushirikiano mkubwa uliopo baina ya pande hizo mbili na kwamba jumuiya hiyo inajivunia amani iliyopo nchini kwani inaruhusu uwekezaji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.