• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI MBIONI KUUNDA BARAZA LA KUWASAIDIA VIJANA KATIKA SANAA:WAZIRI

Posted on: September 26th, 2024

SERIKALI MBIONI KUUNDA BARAZA LA KUWASAIDIA VIJANA KATIKA SANAA:WAZIRI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya ofisi yake imejapanga kuunda baraza la vijana ambalo litawasaidia  katika kupunguza  changamoto za ajira na kusaidi katika upatikanaji wa fursa za kiuchumi.

Amesema hayo Septemba 26, 2024 wakati akizungumza na viongozi wa makundi mbali mbali ya Vijana katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa lengo la kuwahamasisha Vijana kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27, 2024.

Amesema Wizara yake inakwenda kufanya kazi na wizara mbali mbali ili kuhakikisha wanatengeneza fursa za kisanaa kwa vijana ili waweze kuzitangaza na kuzionesha kazi za sanaa zinazofanywa na vijana.

"Baraza hili la vijana litakapoundwa ndiyo litakwenda kuwa mwarobaini kwa vijana katika kuendeleza mambo yao na kupitia vituo tamizi ambavyo vitawekezwa baadhi ya maeneo". Amesema Mhe. Kikwete.

"Tunakwenda kufanya kazi na Wizara ya Michezo, Wizara na Utalii ili kufaidisha kazi za wasanii na kuwasaidia wasanii kuondoka katika wimbi kubwa la umasikini". Amesema Mhe. Kikwete.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda  amesema Ofisi yake inajipanga ili kuweza kuwasikiliza wasanii wa Mkoa huo na kuweka mikakati ya kuiendeleza sanaa yao.

"Nimeisha waelekeza watu wangu hapa wanaosimamia michezo kutengeneza ratiba ya kukaa na makundi  mbali mbali ya wasanii ili Mkuu wa Mkoa aweze kujua na aweze kuwa na mchango katika makundi yenu" Amesema Mhe. Mtanda.

Sambamba na hayo Mhe. Mtanda amewataka Vijana kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na  kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.