• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Serikali yaipongeza Hospitali ya Sekou Toure kwa huduma bora

Posted on: July 4th, 2022

Serikali imetoa pongezi kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure kwa uboreshaji wa huduma na ameagiza hali hiyo iwe endelevu kwa faida ya Wananchi.

Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin Mollei leo amefanya ziara fupi Hospitalini hapo Kwa kutembelea jengo jipya la huduma za Mama na Mtoto na kufanya kikao na Watumishi wake.

Amesema kumekuwa na mabadiliko chanya siku hadi siku wakati Serikali ikiendelea kufanya maboresho kwenye kila sehemu yenye uhitaji.

"Nimekuwa nikiifuatilia Hospitali  hii nasema wazi kabisa mmebadilika na hongereni sana, hali hii inamtia moyo hata Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania Maendeleo ya Taifa letu" amesema Mhe Mollel.

Aidha Mhe Mollel amezipongeza asasi zisizo za Kiserikali zinazofanya kazi chini ya Wizara ya Afya ambazo zimekuwa chachu ya Maendeleo katika Sekta ya Afya nchini.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt Thomas Rutachunzibwa amesema wadau wa Maendeleo Mkoani humo wamekuwa nguzo muhimu katika Miradi ya Afya hasa sehemu za vijijini na kufanya huduma hiyo kuwa rahisi kwa kutoa elimu na tiba.

Mkurugenzi kutoka Shirika la Americares wanaojihusisha na Mradi wa Uzazi Staha, John Fulli amesema kwa kutambua umuhimu wa Sekta ya Afya wataendelea  kushirikiana na Serikali ili kufikia malengo yaliyokusidiwa.

Naibu Waziri Dktr Godwin Mollel yupo Mkoani Mwanza kwa ziara ya kukagua Miradi ya Sekta ya Afya na kuzungumza na Watumishi wake.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.