• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SUALA LA UPANDAJI MITI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA LIWE ENDELEVU:RC MTANDA

Posted on: December 9th, 2024

SUALA LA UPANDAJI MITI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA LIWE ENDELEVU:RC MTANDA


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mh:Christopher Ngubiagai ametaka kila mmoja anapaswa kutimiza wajibu wake kwa kutambua umuhimu wa utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti ili kupambana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea kuleta madhara makubwa duniani kwa sasa.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru yaliyofanyika ki Mkoa wilayani Ilemela kwenye viwanja vya Halmashauri,comrade Ngubiagai amebainisha Dunia hivi sasa inashuhudia maafa makubwa ya mafuriko na kuangamiza maisha ya watu hii ni kutokana na athari za mazingira.

“..Uhuru ni haki ya msingi ya kila mtu au Taifa kuamua kufanya mambo bila kuingiliwa na mtu yoyote ki maamuzi,sisi watanzania hatuna budi kuendelea kuuenzi Uhuru wetu kwa vitendo likiwemo suala la utunzaji mazingira” Amesema Mkuu huyo wa wilaya akimnukuu hayati baba wa Taifa la Tanzania Mwl.Julius Kambarage Nyerere

Mhe:Ngubiagai ameongeza kuwa pamoja na shughuli mbalimbali ambazo zinafanyika katika maadhimisho hayo ni muhimu kuwaenzi waasisi wa Taifa kwa kuzingatia misingi ya uhuru ambayo inajumuisha umoja,usawa,uwajibikaji,kujitegemea na haki za binadamu ili kuleta maendeleo kwa kasi.

“..Tunamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri anayoendelea nayo ya kuleta maendeleo,kipindi cha uhuru mkoa wa Mwanza ulikuwa na shule 5 tu leo tuna jumla ya shule 332 na nyingine zinaendelea kujengwa."

Aidha Afisa usalama mstaafu wa mkoa wa Mwanza Dkt.Jacob Mutashi ametoa mada kuhusu amani wakati wa kongamano lililojikita zaidi katika masuala ya Uhuru wa Tanzania Bara, amesema nchi hiyo ilipata uhuru wake kwa njia ya amani bila kumwaga damu na kwamba nchi iliongozwa kwa kufuata misingi ya amani ,umoja na uadilifu bila kujali dini wala makabila ya mwananchi wake.

“.. Hatuna budi kuilinda tunu ya Taifa letu ambayo ni amani..” amesema Dkt.Mutashi

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ilemela mstaafu Dkt.Leonard Masale amesema Tanzania Bara inatimiza miaka 63 ya Jamhuri huku akifafanua maana jamhuri kuwa ni jamii huru

Maadhimisho hayo yaliyokwenda pamoja na kongamano la miaka 63 ya Uhuru na shughuli ya upandaji miti yamepambwa na kauli mbiu isemayo "Uongozi madhubuti na ushirikishwaji wa wananchi ni msingi wa maendeleo yetu."

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA: UZINDUZI MV MPUNGU NI ISHARA YA MAENDELEO SEKTA YA USAFIRISHAJI MAJINI

    May 21, 2025
  • MSINGI WA MALEZI BORA KWA MTOTO UNAJENGA TAIFA IMARA: RC MTANDA

    May 21, 2025
  • OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA YATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA PROF.JANABI

    May 20, 2025
  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.