• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TAMISEMI kuleta Kamati nyingine kuchunguza sakata la uuzwaji viwanja Jiji la Mwanza

Posted on: January 26th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amesema Ofisi ya Rais TAMISEMl inatarajia kuleta Timu kuchunguza Sakata la Uuzaji wa Viwanja namba 194 na 195 Katika Kitalu U kwenye Mtaa wa Rwegasore Jijini Mwanza ili kujiridhisha na taratibu zilizotumika pamoja na utendaji kwa ujumla wa Sekta ya Ardhi kutokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi.

Mhe. Malima amesema hayo leo (Januari 26, 2023) wakati akipokea Ripoti Maalum kutoka  kwa Timu aliyoiunda Januari 13, 2023 kuchunguza taratibu zilizotumika kuuza Viwanja hivyo licha ya uwepo wa zuio lililotolewa na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Nyamagana kwenye kikao kilichoketi Septemba 28, 2022.

Aidha, ameishukuru Timu hiyo kwa kukamilisha kazi ndani ya muda waliopatiwa (Siku 7) na akabainisha kuwa Ofisi yake itawasilisha taarifa kwenye Ofisi ya TAMISEMl, Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU ili kuzitaarifu juu ya yaliyobanika kwenye uchunguzi uliofanywa na Kamati hiyo.

Awali, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mkurugenzi wa Maadili wa Kanda ya ziwa Ndugu Godson Kweka alifafanua kuwa katika kutekeleza jukumu hilo wameongozwa na Hadidu za rejea 11 zikiwemo kuchunguza Historia ya Umiliki wa viwanja hivyo, sababu zilizomfanya Mkurugenzi wa Jiji kuamua kuviuza pamoja na uwepo wa zuio la kufanya hivyo ambalo lilitolewa na Kikao ambacho naye alishiriki.

Zingine ni kuwachunguza watumishi walioshiriki katika Uuzaji wa viwanja hivyo, Ushiriki wa Kamishna Msaidizi wa Ardhi kwenye suala hilo, Uwezo wa Menejimenti ya Halmashauri hiyo katika kushauri mambo, thamani halisi ya viwanja hivyo na uchungu notzi dhidi ya washiriki wote hata amabo sio watumishi wa umma waliohusika kwenye mchakato wa kuuza viwanja hivyo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.