• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUENDELEE KUWAOMBEA VIONGOZI WETU NA KUFANYA KAZI KWA BIDII: RC MTANDA

Posted on: April 7th, 2024

TUENDELEE KUWAOMBEA VIONGOZI WETU NA KUFANYA KAZI KWA BIDII: RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewakumbusha viongozi wa dini na waumini wao kuendelea kuwaombea viongozi wetu akiwemo Rais Samia na wasaidizi wake ili watimize ndoto zao za kulijenga Taifa lenye uchumi imara.

Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo leo Aprili 7, 2024 wakati wa hafla ya kusimikwa viongozi wa seksheni ya Nyamagana kaskazini iliyofanyika kwenye kanisa la TAG Igoma na kusema kasi ya kuwaletea maendeleo inayofanywa na viongozi wetu haina budi kumtanguliza Mungu kwa kuwaombea ili wazidi kuwa na hekima katika kutimiza malengo yao.

"Baba Askofu Isack Gwalalika nimesikia baadhi ya nyimbo zenu zikiwa zimebeba  ujumbe mzuri kwetu za kutojikweza unapokuwa na mamlaka au nafasi ya juu na badala yake kujishusha ili kuzidi kupata thawabu kwa Mungu," Mkuu wa mkoa.

Mhe. Mtanda anayepita kujitambulisha pia amewahakikisha waumini hao Serikali inatambua mchango wa Taasisi za kidini katika kumletea maendeleo mwananchi na kuwaahidi kutoa ushirikiano wa kutosha na wao wafanye kazi kwa bidii ili kuwatia moyo viongozi wetu.

Kwa upande wake Askofu wa Jimbo la Mwanza kusini Isack Gwalalika amebainisha wao wataendelea kuiunga mkono kwa vitendo Serikali inayokuwa madarakani ili kulijenga Taifa la wachapakazi.

Baadaye jioni Mhe.Mtanda ameshiriki Iftar iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mh.Amina Makilagi kwenye Hotel ya Gold Crest na kupata wasaa wa kuzungumza akihimiza kuendelea kutenda mema hata baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani na kuwaahidi kusikiliza na kuzipatia ufumbuzi kero mbalimbali za wananchi.

Akiwa kwenye msikiti wa dhehebu la Hindhu eneo la Makoroboi uliotimiza miaka 47,Mkuu huyo wa mkoa ameendelea kuhimiza mshikamano ili kuwapa maendeleo yenye tija wananchi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.