• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUME HURU YA UCHAGUZI YATAKA SHERIA NA TARATIBU ZA UBORESHAJI DAFTARI ZIZINGATIWE

Posted on: August 11th, 2024

TUME HURU YA UCHAGUZI YATAKA SHERIA NA TARATIBU ZA UBORESHAJI DAFTARI ZIZINGATIWE


Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira amewaasa Maafisa Uandikishaji Mkoani Mwanza kwenda kutoa mafunzo ya nadharia na vitendo katika ngazi za kata kwa kuzingatia, sheria, taratibu na kanuni za tume hiyo.

Ametoa wito huo leo Agosti 11, 2024 wakati akihitimisha mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa ngazi ya Mkoa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza huku yakiwakutanisha wajumbe wa majimbo yote ya Mkoa huo.

Mhe. Rwebangira amewataka maafisa hao kuwasiliana na tume mara kwa mara endapo litatokea jambo la kuhitaji ufafanuzi ili kuhakikisha wanatekeleza kwa ukamilifu majukumu waliyopewa kwa maslahi ya zoezi hilo.

Aidha, amewataka watendaji hao kuwa makini kwenye usambazaji na utunzaji wa vifaa, matumizi ya lugha nzuri na kusimamia waandikishaji ili wafanye kazi muda wote kwenye vituo vya kuandikishia hata kama hakutakua na wahitaji.

Naye mshiriki Emanuel Sherembi ambaye ni Mwenyekiti wa mafunzo hayo amefafanua kuwa kwa siku mbili hizo wamepata mafunzo ya nadharia na vitendo juu ya ujazaji wa fomu mbalimbali, namna ya kuandikisha wapiga kura, mfumo wa uandikishaji, mapokezi ya vifaa na usimamizi wa fedha.

"Washiriki wote wameelewa na wamefanya mazoezi kwa vitendo na kwa  uwezo waliojengewa utawafanya kwenda kufanya kazi hiyo nyeti kwa weledi mkubwa na Mwanza itafanikisha vema zoezi hilo." Amejinasibu mwenyekiti Sherembi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.