• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Tumieni Taaluma yenu ya uhasibu na ununuzi ili muwe wasimamizi bora wa fedha za umma: RAS Balandya

Posted on: November 24th, 2023

*Tumieni Taaluma yenu ya uhasibu na ununuzi ili muwe wasimamizi bora wa fedha za umma: RAS Balandya*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana ametoa rai kwa wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu tawi la Mwanza (TIA) kuitumia vyema elimu yao ili kuleta mageuzi chanya katika usimamizi wa fedha za umma hapa nchini.

Akizungumza leo Novemba 24, 2023 kwenye viwanja vya Taasisi hiyo eneo la Nyang'homango wilayani Misungwi wakati wa mahafali ya 21, Balandya amebainisha Bado kuna changamoto nyingi katika usimamiaji mzuri wa fedha za umma ikiwemo watumishi kukosa weledi na badala yake kuingiwa na tamaa na kujinufaisha binafsi.

"Nyie wote hapa ni mashahidi wa taarifa ya mara kwa mara ya mkaguzi na mdhibiti wa fedha za Serikali (CAG) inavyoonesha upotevu mkubwa wa fedha za umma, miradi kutokamilika na fedha husika kuliwa sasa hayo yote mnatakiwa mkayafanyie kazi mtakao  pata ajira Serikalini," amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akizungumza na wahitimu hao.

Ameipongeza pia Taasisi hiyo kwa kuwajengea uwezo mzuri wahitimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira kwa kuwa wabunifu wa kujiajiri.

"Nimejionea hapa kwenye mabanda yenu baadhi ya kazi za kujiajiri ambazo mmefanya, hii ni hatua nzuri sana kwani mkitoka hapa hamtakaa vijiweni na badala yake mtachangamkia fursa mbalinbali za kujiingizia kipato," Balandya.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu na Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania TIA Prof. William Pallangyo ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wake Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha Taasisi hiyo kuwa na majengo yake baada ya kutumia ya kupangisha kwa muda mrefu tangu mwaka 2012.

"Mradi wa jengo letu umeghatimu Shs bilioni 7.8 ni la kisasa litakaloanza kutumika April mwakani," Prof. Pallangyo

"Ndugu mgeni rasmi Taasisi yetu hadi sasa Ina matawi sita na tupo mbioni kuongeza la Saba huko Zanzibar lengo letu likiwa ni kuwazaluaga wataalamu bora watakao kuwa chachu ya kukuza uchumi wetu."Amesema Wakili Said Musendo Mwenyekiti wa bodi.

Awali kabla ya mahafali hayo mgeni rasmi alizindua kozi nyingine tano kwenye Taasisi hiyo ikiwemo masoko na Rasilimali watu na uhasibu na stadi za biashara.

Jumla ya wahitimu 947 wametunukiwa vyeti kwa ngazi mbalimbali kuanzia cheti, shahada na astashahada ya elimu ya

 Uhasibu na manunuzi


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.