• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUNAISHUKURU SERIKALI YA RAIS SAMIA KWA KULETA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA

Posted on: March 16th, 2024

TUNAISHUKURU SERIKALI YA RAIS SAMIA KWA KULETA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA


*Miradi ikikamilika Mwanza itapaa kiuchumi*


*Kamati ya Bunge yaishauri serikali kujenga vituo vya afya Misungwi na Sengerema*


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Amima Makilagi amesema Serikali imeleta Trilioni 3.3 kujenga miradi ya kimkakati kuanzia Daraja la JP Magufuli, Meli ya MV MWANZA, Uwanja wa ndege pamoja na Reli ya kisasa (SGR) ambayo yote kwa pamoja ni nguzo muhimu ya kiuchumi itakayo kuwa na tija kwa wananchi Taifa.

Mhe. Makilagi amesema hayo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza leo Machi 16, 2024 wakati akitoa salamu za Mkoa kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ambapo ametumia wasaa huo kuishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuleta Miradi ya kimkakati ambayo amebainisha kuwa itapokamilika itaupaisha kiuchumi mkoa huo.

"Mwenyekiti wa kamati, Mhe. Moshi Kakoso kwa niaba ya wananchi wa Mkoa huu tuna kila sababu ya kumshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi na bunge kuiidhinisha ,tunakuahidi tutaisimamia vizuri na kukamilika kwa wakati," Mhe.Makilagi

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu ambaye pia ni Mbunge wa Mpanda vijijini Mhe. Moshi Kakoso amesema wataishauri Serikali kuhakikisha wananchi waliopitiwa na mradi wa Daraja la JP Magufuli wananufaika nalo kwa kujengewa vituo vya afya na Mkandarasi wa mradi huo.

"Wananchi wa wilaya za Misungwi na Sengerema tunakwenda kuishauri Serikali kabla ya mradi huu wa Daraja kukamilika  wapatiwe vituo vya afya,naomba pia Ofisi ya mkuu wa mkoa hili mlisimamie na muhakikishe limefanyika," amesema Mwenyekiti wa kamati.

Aidha, ameutaka pia uongozi wa Mkoa huo kuhakikisha miradi yote haihujumiwi na wananchi na badala yake ikamilike kwa wakati na iwe endelevu kwa maslahi ya Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • FAMILIA NI NGUZO IMARA KATIKA KULINDA MAKUZI YA MTOTO: DKT. BITEKO

    May 24, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.