• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Tutuba aipongeza Buchosa kupata hati safi

Posted on: June 2nd, 2020




Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa imefanikiwa kupata hati safi  katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali zilizoidhinishwa na Serikali ambapo ilifanikiwa kupata hati hiyo (isiyo na mashaka) katika mapendekezo 35 yaliyotolewa ukilinganisha na mapendekezo 54 yaliyotolewa mwaka wa fedha 2017/2018.

Akiwasilisha utekelezaji wa hoja zilizotolewa na Ofisi ya mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na hesabu za Halmashauri za mwaka 2018/2019 Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa  Crispin Luanda amesema kuanzia 2015 hadi 2019 mapendekezo yaliyotolewa ni 209,mapendekezo yaliyotekelezwa 128 ,yanayoendelea kutekelezwa 51,yalipitwa na wakati 37 huku yasiyotekelezwa ni 11.

"Tumepokea maelekezo tutaendelea kuchapa kazi pia baada ya miezi michache tunatarajia kuamia katika jengo letu la ofisi jipya tunalojenga"alisema Luanda.

Naye Mbunge wa Jimbo la Buchosa Mhe.Dkt. Charles Tizeba amemuhoji Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu hoja zinazojitokeza za kuleta madhara   katika jamii  ambapo Mkaguzi wa hesabu za Serikali amesema kuwa  mara nyingi hutolewa maelekezo kwa  menejimenti kufuata taratibu zinazostahili ili kunapokuwa na madhara yasiweze  kujitokeza wakati mwingine.

Akitolea ufafanuzi kuhusu pale inapojitokeza kuwepo kwa muingiliano wa maslahi binafsi kuingilia katika kazi,Mkurugenzi wa Halmashauri Crispin Luanda amesema zipo sheria zinazowaongoza ili wasiweze kuingilia katika kazi mfano TBA hawawezi kujenga majengo halafu wajikague wenyewe ni kinyume na utaratibu.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa Emmanuel Tutuba amewapongeza Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa kupata hati safi na kuwaasa waendelee kujipanga ili miaka yote wahakikishe wanapata hati safi.

"Katika Halmashauri changa zinazofanya vizuri katika miradi ya maendeleo  Buchosa mmo mnafanya kazi nzuri ili Jambo lisiishie hapa bali liwe endelevu  huu ni wakati wakuchapa kazi "anaeleza Tutuba.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.