• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

UHUSIANO WA TANZANIA NA UJERUMA NI UMEZIDI KUWA NA TIJA: RC MAKALLA

Posted on: March 22nd, 2024

UHUSIANO WA TANZANIA NA UJERUMA NI UMEZIDI KUWA NA TIJA: RC MAKALLA


*Aishukuru Ujerumani kwa kuutambua Mkoa wa Mwanza Kimkakati na kuiumarisha kimaendeleo*


*Asema Miradi ya Maji, Afya, Mazingira inaendelea kupiga hatua*


Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala leo Machi 22, 2024 amempokea balozi wa Ujerumani hapa nchini Mhe.Thomas Terstegen na kusema uhusiano baina ya nchi hizo ulioanza tangu mwaka 1960 umekuwa na tija kutokana na kuwepo miradi mbalimbali ya kuwaletea maendeleo wananchi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Masala amebainisha kuwa miradi iliyoletwa na Ujerumani hususani sekta ya Afya, Umeme, Maji, MaliAsili na Elimu na mingineyo imekuwa chachu ya maendeleo hapa nchini.

"Mhe. Balozi nikushukuru kwa kuutambua Mkoa wa Mwanza upo kimkakati na kuleta miradi ya afya,maji na mazingira hii ni hatua nzuri ambayo itazidi kuumarisha kiuchumi mkoa huu," Mkuu wa Wilaya.

Balozi wa Ujerumani Mhe.Thomas Terstegen amesema uhusiano wa Tanzania na Ujerumani utazidi kuwa endelevu huku ukiwanufaisha wananchi wa pande zote mbili.

"Kutokana na jiographia ya Mwanza tutaleta Mradi wa kuimarisha mifumo ya maji taka na safi kwa wanaoishi sehemu za milimani, pia tutajenga kingo za mto mirongo na kuleta vifaa vya kupambana na uchafuzi wa mazingira." Balozi.

Balozi huyo katika ziara yake ya siku mojs Mwanza atatembelea pia Chuo cha wanyamapori cha Pasinsi, miongoni mwa miradi wanayoifadhili.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.