• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

UKAMILIFU WA HOTELI YA NSSSF MWANZA NI FURSA YA KUKUZA UCHUMI - RC MTANDA

Posted on: June 11th, 2025

UKAMILIFU WA HOTELI YA NSSSF MWANZA NI FURSA YA KUKUZA UCHUMI - RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 11, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuwataka kuongeza nguvu katika ukamilishaji wa Hoteli ya NSSF inayojengwa Jijini Mwanza kwa kuwa uhitaji wa huduma za malazi bado ni mkubwa.

Mhe. Mtanda amesema Serikali imejikita katika miradi ya kufungua uchumi wa Kanda ya Ziwa, Aidha amesema Ujenzi wa Soko Kisasa la Mjini Kati litakwenda kuchagiza uchumi wa Wafanyabiashara na Wakazi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Sambamba na hilo, Mkuu wa Mkoa pia ameongeza Ukamilikaji wa Daraja la Kigongo - Busisi itarahisisha shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo na itaokoa gharama ya muda ambapo Mwananchi anaweza kutoka Mkoani Geita akaja Mwanza kufanya manunuzi katika soko la mjini kati na akaweza kurudi Geita kuendelea na shughuli zake.

“Pia hapa Mwanza kuna ujenzi wa bandari ya kisasa ya north port, na Serikali pia imejenga meli kubwa ya mizigo na abiria ambapo tutaweza kwenda nchini Uganda kuchukua mizigo na kurudi Mwanza kwa wakati”.

Hivyo Mwanza imeunganishwa na ziwa ambapo tuna meli moya ya MV. Mwanza Hapa Kazi Tu, daraja la JPM, Reli ya kisasa ya mwendokasi na hivi tunavyoongea pia Serikali inafanya upanuzi wa uwanja wa ndege, Mwanza sasa itakuwa inafikika kwa njia zote hizo tatu. Ameongeza Mkuu wa Mkoa.


Aidha Mkuu wa Mkoa amesema ujenzi wa hoteli ya NSSF Mkoani Mwanza Bodi haijafanya makosa na amewataka kuendelea kuhakikisha hoteli hiyo inaenda kwa wakati, ukizingatia Mkoa wa Mwanza umekuwa na kawadia ya kupokea wageni wengi wa Kitaifa na Kimataifa hivyo ikienda kwa wakati na maendeleo hayo aliyoyataja hapo juu basi watakuwa wameweza kukamata soko la malazi.


Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Mwamini Malemi, amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa maneno na maelekezo yake mazuri na amesema bado wao kama Mfuko wa Hifadhi wataendelea kushirikiana kikamilifu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UKAMILIFU WA HOTELI YA NSSSF MWANZA NI FURSA YA KUKUZA UCHUMI - RC MTANDA

    June 11, 2025
  • RC MTANDA ASHIRIKI MAZISHI YA MZEE SILVIN MONGELLA

    June 07, 2025
  • BARAZA LA RAIS LA USHAURI WA KILIMO NA CHAKULA LAKUTANA NA WADAU WA KILIMO KANDA YA ZIWA

    June 04, 2025
  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.