• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Viongozi wa Umma watakiwa kutekeleza kwa wakati maagizo kutoka Tume ya Utumishi wa Umma

Posted on: May 16th, 2023

*Viongozi wanaosimamia mamlaka za nidhamu watakiwa kutekeleza maagizo kutoka Tume ya Utumishi wa Umma*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amewataka viongozi wanaosimamia mamlaka za nidhamu kutekeleza kwa wakati maagizo kutoka Tume ya Utumishi wa Umma ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima.

Akifungua kikao kazi leo kwenye ukumbi wa Rock City Mall kilichowahusisha viongozi na watendajii wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, Elikana amesema wapo baadhi ya viongozi wamekuwa wakichangia uwepo wa migogoro kutokana na kukaidi maagizo ya Tume.

"Nimefurahi kuwaona viongozi mnaosimamia mamlaka za nidhamu kutoka Mikoa ya Mwanza,Geita,Mara na Simiyu,naamini kupitia kikao kazi hiki tutakumbushana haki na wajibu lengo ni watumishi wafanye kazi katika mazingira rafiki ili  ufanisi wa kazi uongezeke,"Amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa.

Balandya ameongeza kuwa Mhe.Dkt.Samia ndoto zake siku zote ni kuwaona watumishi wanafanya kazi katika mazingira mazuri ili kuongeza ari ya uwajibikaji  pia anataka kuwaona  wakipewa elimu za mara kwa mara ambayo itachangia kuwajengea uwezo.

"Ndugu viongozi tutumie vizuri kikao kazi hiki kupata uelewa wa kutosha na muulize maswali pale mnapoona kuna utata wa tafsiri za miongozo,Tume hii imekuwa ikipokea mashauri mengi ambayo yamechangiwa na viongozi wa maeneo husika kushindwa kuzitafsiri vizuri Sheria zilizopo,"Mhe.Balozi Adadi Rajabu,kamishna wa Tume.

Kikao kazi hicho kimewahusisha Wakurugenzi wa Halmashauri,Wakuu wa Taasisi,wenyeviti wa Halmashauri na Mameya kutoka Mikoa ya Mwanza,Geita,Mara,na Simiyu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.