• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Vitambulisho vya wajasiliamali wadogo vyakabidhiwa Mwanza

Posted on: May 20th, 2020

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella amekabidhi vitambulisha 15,000 kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri nane za mkoa huo ili vitolewe kwa wafanyabiashara ndogo ndogo (wamachinga) wa mkoa huo.

Vitambulisho hivyo vilivyokabidhiwa kwa Mkuu wa Mkoa na Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Ndg. Joseph Mtandika ni sehemu ya vitambulisho 88,000 ambavyo mkoa huo umepangiwa na Ofisi ya Rais kwa ajili ya kuwapatia wafanyabiashara ndogo ndogo.

Utaratibu wa utoaji vitambulisho hiyo ni mpango wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli wa kuwatambua wamachinga wote ili kuwaondoa katika usumbufu mbalimbali waliokuwa wanaoupata.

Katika makabidhiano hayo kwa wakuu wa wilaya, Mhe. Mongella amesema kwamba zoezi la ugawaji vitambulisho hivyo kwa mwaka jana lilikuwa la mafanikio makubwa na kwamba anaamini mwaka huu litakwenda vizuri pia.

“Vitambulisho hivi vimeondoa adha ya usumbufu kwa wamachinga. Katika ugawaji wa mwaka jana tumejifunza mengi, tutumie sasa uzoefu wa mwaka jana kufanya vizuri zaidi,” amesema.

Awali Meneja wa TRA alisema kwamba idadi ya vitambulisho kwa mkoa wa Mwanza umeongozwa kwa asilimia tano, kutoka 80,000 vya mwaka jana hadi 88,000 na imetokana na mafanikio makubwa katika usambazaji wake mwaka jana kwa wamachinga.

Akaongeza, “...Pia vitambulisho vya sasa vimeboreshwa zaidi kwa kuweka serial number (mpangilio maalum wa namba) na zipo katika mtandao hivyo inakuwa rahisi kwa sasa kujua kitambulisho hiki ni cha mkoa gani.”

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • FAMILIA NI NGUZO IMARA KATIKA KULINDA MAKUZI YA MTOTO: DKT. BITEKO

    May 24, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.