• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Viwanja vya Shule zote Mwanza vyatakiwa kupanuliwa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu

Posted on: January 16th, 2023

*Viwanja vya Shule vyatakiwa kupanuliwa kusaidia Ujenzi wa Miundombinu*


Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe imekamilisha Ujenzi wa vyumba vya Madarasa 76 vyenye thamani ya Bilioni 1.52 kwa ajili ya wanafunzi 10439 waliofaulu kujiunga na Kidato cha kwanza 2023 ambao wanaendelea kusajiliwa kwa ajili ya kuanza Mwaka wa masomo.

Akiongea na wananchi kwenye hafla ya makabidhiano iliyofanyika kwenye shule ya Sekondari Mumbuga, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima ametoa wito kwa viongozi wa Wilaya zote Mkoani humo kuweka mpango wa kuongeza maeneo kwenye Shule zote zenye maeneo finyu ili kuwa na eneo la kujenga Miundombinu mingine siku za baadae.

"Madarasa haya 76 ni miongoni mwa 980 yaliyojengwa Mkoani Mwanza nasi ndio tumeongoza kwa kupata fedha nyingi za Ujenzi nchini, tunamshukuru sana Mhe. Rais kwa sababu ametujali na tutanufaika sana na miundombinu hii, nawasihi tulipe wema kwa wema na kipekee tuhakikishe tunawaleta watoto shule." Amesema Malima.

Aidha, ametoa wito kwa viongozi wa Halmashauri hiyo kukamilisha Maboma ya Madarasa kwenye shule zote ili kuunga mkono juhudi za wananchi walioanzisha Ujenzi kwa kujitolea nguvukazi na katika kuhamasisha hilo Mhe. Malima amechangia Mifuko 40 ya Saruji.

"Madarasa haya hayatakua na maana kama watoto hawatakuja kusoma hivyo nawaomba tuhamasishane wazazi, walezi na wadau wote kuwaleta wanafunzi wote waliochaguliwa kuja kujiunga kidato cha kwanza mapema iwezekanavyo." Amesema Katibu Tawala Mkoa.

Kanali Denis Mwila, Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaletea fedha za kujenga Madarasa hayo pamoja na utengenezaji wa seti za Viti na Meza 3800.

"Mbinu ya kufanya manunuzi kwa pamoja (Bulk purchase) imesaidia kupata vifaa vya Ujenzi kwa gharama za chini na utengenezaji wa seti meza na viti 3800 umefikia asilimia 98 na ifikapo Januari 18, 2023 zoezi hilo litakua limekamilika ikiwa ni pamoja na kufikisha Samani hizo kwenye shule zote." Emmanuel Sherembi, Mkurugenzi wa Halmashauri Ukerewe.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.