• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wadau wa Kilimo watakiwa kutoa mapendekezo bora Sera ya Kilimo

Posted on: May 28th, 2019


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Christopher Kadio amewataka wadau wa kilimo kutoa mawazo, michango na mapendekezo bora na makini yatakayo saidia kurekebisha sera ya kilimo ya Taifa ya Mwaka 2013.

Kadio alitoa wito huo alipokuwa akifungua kikao kazi cha wadau wa kilimo kuhusu kujadili na kutoa maoni ya marekebisho ya sera hiyo.

Alisema, Sera ya kilimo inatoa mwongozo wa jumla kuhusu mwelekeo wa masuala ya kuzingatia katika jitihada za uendeshaji wa sekta hiyo.


“Sera hii ilikuwa katika utekelezaji karibu miaka sita sasa na masuala mengi mapya yamejitokeza katika ngazi mbalimbali kuanzia ya kimuundo ,kisekta,kitaifa na kimataifa hivyo hali hiyo inahitaji kuiangalia upya sera ya kilimo iliyopo ili kuendana na hali halisi ilivyo sasa”alisema Kadio.

Kadio ameongeza kuwa, Sekta ya kilimo inatoa ajira kwa Watanzania kwa asilimia 65.5 ikichangia karibia asilimia 30 ya pato la Taifa kwa mwaka 2018 ambapo sekta ndogo ya mazao ilichangia asilimia 16.58.


“Sekta ya kilimo inachangia asilimia 65 ya malighafi za viwanda na kuchangia karibu asilimia 100 ya mahitaji ya ndani ya chakula, hivyo ni vyema ikawa na muongozo thabiti”alisema Kadio.


Profesa Msataafu wa Uchumi na Kilimo Lucian Msambichaka alisema ili kilimo kiwe na tija ni lazima miundombinu ya umeme, uchukuzi na maji iboreshwe.

Naye Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Kilimo Obey Assery alisema, maeneo waliotilia mkazo kwenye sera hiyo ni mrorongo mzima wa tija, kuanzia matumizi bora ya ardhi na pembejeo kwa maana ya mbolea, mbegu bora na viuatilifu.

Aidha, Ofisa Kilimo Wilaya ya Ilemela Neema Semwaiko alisema, ili sera iwasaidie wakulima kipengele cha ugani kiimarishwe kwakuwa wagani ni wachache na vifaa wanavotumia vimepitwa na wakati.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.