• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WAELIMISHAJI JAMII MWANZA WANOLEWA USAFIRI WA M-MAMA

Posted on: July 12th, 2024

WAELIMISHAJI JAMII MWANZA WANOLEWA USAFIRI WA M-MAMA


Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba leo Julai 12, 2024 amefungua kikao kazi cha kuwajengea uwezo Waelimishaji jamii ngazi ya Mkoa na Halmashauri kuhusu usafiri wa dharula kwa Mama na Mtoto Mchanga (M-MAMA) chini ya ufadhili wa Pathfinder.

Akifungua kikao hicho Dkt. Lebba amewataka waratibu wa afya ya Mama na Mtoto, waratibu wa elimu ya afya kwa umma na waratibu wa mradi wa M- Mama kupeleka fedha kwenye akaunti ya Taifa ya M-Mama ili kufanikisha utekelezaji wa malengo kibajeti na akasisitiza kutochelewesha malipo.

"Hakuna kitu kinanikera kama kuona kifo cha mama na mtoto katika kazi zangu, pamoja na makusanyo bora ya mapato ya ndani kutokana na huduma za afya kipaumbele changu kingine ni kuona hakuna vifo vya mama na mtoto, naomba tushirikiane kufanikisha haya," amesisitiza Mganga Mkuu.

Aidha, amewataka wataalamu hao kuhamasisha jamii kuweza kutumia huduma hiyo kwa manufaa hususani matumizi sahihi ya namba ya dharula 115 kwa jamii ili isitumike vibaya badala yake waitumie kwa ajili ya kuomba msaada tu pale unapohitajika usafiri kwa mama au mtoto mchanga.

Vilevile, amesisitiza umuhimu wa kutoa mrejesho wa utekelezaji wa mpango kazi na katika hilo amewataka kufuata sheria, kanuni na taratibu za afya ikiwemo na utoaji huduma bora kwa wananchi na kwa staha ili kujenga imani kwa jamii dhidi ya Serikali juu ya huduma za afya hususani zilivyoboreshwa.

Wakati akiwasilisha mada, mwezeshaji kutoka Hospitali ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) Bi. Shubila Mujwahuzi alibainisha malengo ya mradi huo kuwa ni kupunguza vifo vya wajawazito na watoto ili kuimarisha rufaa kwa kuanzisha pia vyumba maalumu wagonjwa wa dharula.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.